gangsterone2010
Member
- Aug 17, 2012
- 26
- 2
PCCB na DPP wanakanganyana sana; one needs to be merged into the other, vinginevyo kuviacha kama vilivyo vinatoa hisia kwamba hata masuala la ufisadi/rushwa nayo yanahitaji 'checks and balance'
Usemacho JF Senior Member Expert kina ukweli haswaaa...dhana ya "checks and balance" niilewavyo mimi ni kwa mihimili mikuu mitatu ya dola yaani Bunge, Mahakama na Executive...kwamba Bunge liisimamie Serikali inapotekeleza majukumu yake na vice versa...lakini kilichopo kati ya DPP na PCCB ni kusimamiana kwa vyombo ambavyo vyote vipo chini ya Executive Branch...ikimaanisha ndani ya Executive branch vyombo vinasimamiana vyenyewe suala lililopotosha dhana ya "checks and balance"...PCCB kwenye katiba mpya tuwape mamlaka ya kusimama wenyewe na wawe na Mahakama za Makosa yao ya rushwa nakuhakikishia kila mtenda maovu ataenda jela...