Tuijadili PCCB: Kwanini tuendelee kuwa nayo?

Tuijadili PCCB: Kwanini tuendelee kuwa nayo?

Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa imewapa uhuru PCCB kutoa allegation tu za rushwa halafu wakishafanya hivyo, ni juu ya mtuhumiwa kuthibitha kwamba yeye si mla rushwa. Kwa lugha ya kitaalam, Burden of proof kwa makosa ya rushwa iko kwa mtuhumiwa. tujiulize hao PCCB wanashindwa nini kutoa tu allegation halafu watuhumiwa hawa wakathibitishe mahakamani kwamba wao si wala rushwa. Au sheria hii wametungiwa mahakimu na maaskari wa vyeo vya chini?
Mkuu ndo maana nimesema kuwa PCCB haina madhara kwa CCM, ina madhara kwa Watanzania wengine tena wadogo kama hao uliwataja. Kazi ni moja, kuikataa tu! Hapo tutaonyesha mshikamano wetu Watanzania. Vinginevyo tuendelee kusindikiza watu huku dunia wma kuangalia wanavyofanikiwa, hasa majirani zetu ambao wengine wametoka vitani miaka michache iliyopita.
 
TAKUKURU=Taasisi ya Kukuza na kutetea Rushwa........
Msitegemee jipya hapo......nadhan mmeziona rushwa last year.....kwenye election....wangapi wameshahukumiwa????na walioshinda watalipwa FIDIA na serikali kuu au TAKUKURU
 
kumsafisha chenge,dowans na kuwasaidia watawala warudi madarakani kwa rushwa
 
Pccb ni kwa ajili ya kusafisha Viongozi wala rushwa.
 
Kaka kazi ya kujitoa ktk tuhuma ipo china!hapa bongo lzm nilieshitaki nithibitishe kuwa mtuhumiwa anakosa,ndio maana mahakama inasema anakesi ya kujibu.
 
Ndio maana kuna umuhimu wa kuangalia upya katiba yetu, tume muhimu kama hii isichaguliwe na raisi
 
Kuwakingia kifua mafisadi akina Rostam, Mkapa, Lowassa, Chenge, Mkono, Yona, Mramba, Manji, na wengineo wengi ambao walitakiwa wawe lupango na pia kufilisiwa mali zao za wizi.
 
PCCB kama ina ubavu,ushahidi upo, ingepeleka majina ya hawa watu kwa DPP wafunguliwe mashitaka:
1.Ana na Ben Mkapa(ANBEN)
2.Vijisenti aka Chenge
3.Lowassa kwa Richmond deals
4.Mkono kwa dubious payment from BoT
5.Rostam Aziz
6.Balozi Maajar kwa kuihujumu Tanesco with dubious legal fees eti ku-defend

Mpaka leo sijui Jithu Patel yuko wapi.


Kama hawataweza basi hakuna maana ya kuwa na PCCB & DPP,ni wastage of space na time,also taxpayers money kuwalipa hawa jamaa(Hosea na Feleshi)
 
Mkuu kwani hukumsikia mkurungezi wa mashitaka (DPP) anaueleza umma wa waTz, kuwa mwenye ushahidi wa tuhuma dhidi ya watuhumiwa wakuu wa ufisadi nchini AC, akiwa mmoja wao ampelekee?
Kwa tahaarifa yako mkuu hawa magamba zao ni kulindana kwa gharama yeyote ile! Ila jambo moja wanapaswa kifahamu ni kuwa Mungu ameamua kuitetea Tanzania na watanzania ni swala la muda tu mambo yote yatakuwa mazuri..
 
Wanajamii naomba kuuliza hivi ajira ya takukuru ( pccb) inatangazwa wapi? Na pia kima cha chini cha mshahara wa mtu mwenye masters serikalini ni tsh ngapi? Na private sector ni tsh ngapi? Nategemea kumaliza masters mwaka huu na mimi nipo abroad.

Natanguliza shukrani zangu kwenu wakuu.
 
Hongera, endelea kufuatilia kwa karibu web yao na vyanzo vingine, swala la mshahara ni siri lakini linategemea kwa kias kikubwa shule na uzoefu.

:A S thumbs_up:
 
Pambaf,yan we unawaza tu mshahara? Kaa huko huko 'aburodi' kwako.hujapata kaz unaulizia malipo kama dalali wa vyumba hapa mjini. Kazi ya pccb inahitaji watu wa kujitoa na si watu wa aina yako.we endelea tu kubeba makasha.., teh..teh..teh! Nakutania bwana. Lazma ujue mshahara,ukishajua hilo,tuulize kama wanaruhusiwa kupokea bahasha kama waandishi wa habari tukujibu.ww c intrest yako ni hela!?
 
kaka watu waadilifu wanazikimbia kazi za pccb wewe unaulizia?
tafuta m2 anayefanya kazi huko akwambie jinsi hawana raha mitaani.
 
Mshahara sio mnono, ila rushwa nje nje. Ndizo zinazowaweka mjini
 
Pambaf,yan we unawaza tu mshahara? Kaa huko huko 'aburodi' kwako.hujapata kaz unaulizia malipo kama dalali wa vyumba hapa mjini. Kazi ya pccb inahitaji watu wa kujitoa na si watu wa aina yako.we endelea tu kubeba makasha.., teh..teh..teh! Nakutania bwana. Lazma ujue mshahara,ukishajua hilo,tuulize kama wanaruhusiwa kupokea bahasha kama waandishi wa habari tukujibu.ww c intrest yako ni hela!?
Mbona huonyeshi ukarimu kwa mgeni huoni kajiunga hivi karibuni.Punguza ukali kidogo atakimbia jamvini ....
 
Kaka kwani wewe una kaasili ka unoko? km ndio basi pccb pana kufaa, ila km sio basi kazi zipo sehemu nyingine tena za maana sio pccb, wale jamaa ni waganga njaa na wanoko wa kufa mtu.
 
Pambaf,yan we unawaza tu mshahara? Kaa huko huko 'aburodi' kwako.hujapata kaz unaulizia malipo kama dalali wa vyumba hapa mjini. Kazi ya pccb inahitaji watu wa kujitoa na si watu wa aina yako.we endelea tu kubeba makasha.., teh..teh..teh! Nakutania bwana. Lazma ujue mshahara,ukishajua hilo,tuulize kama wanaruhusiwa kupokea bahasha kama waandishi wa habari tukujibu.ww c intrest yako ni hela!?

baada ya kusoma username yako nikaona bora nikuache kama ulivyo.
 
Mimi nakushauri usiwafikirie hao pccb maana ni choka mbaya. Nawajua sana wale utadhani hawalipwi mshahara, wamepigika hasa ni ombaomba mtaani na madeni juu madukani na kwa watu binafsi. Bora uende hata uhamiaji au magereza au jeshi.
Ushauri mwingine ni bora ubaki huko huko uoshe hata vyombo majumbani au hotelini maana bongo sasa hivi inakaribia kufa, wajanja wamechukua fedha zao.
Good luck!
 
Rufiji PCCB bureau chief Sada Mziba was bribed 40 Million / by farm input agent one John Samson Tweve so that his fraudulent acts against local and goverment during the distribution of farms input to the three villages of Mbunju ,mvuleni ,Ruwe and Mkongo is not Prosecuted .Commander sada received 40 Million in two installment she received the first installment on the 23/12/2011 totaling to Tshs 25 at Mbezi Kimara and the second installment she received on 14/2/2012 in a hotel in Dodoma

Source The African
 
Back
Top Bottom