JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,966
Leo nimekutana na daladala limeandikwa hivi "wenye wake wapeni pongezi" mwisho wa kunukuu. Nikajiuliza kulikoni? ama kupata mwanamke ni kazi nzito inayostahili pongezi ama wanawake ni mzigo mzito na wenye uwezo wa kuubeba wapewe pongezi. Karibuni wana MMU.