Uni mwanitu
Senior Member
- Oct 25, 2014
- 198
- 55
Mzigo mzito sana yataka moyo kuubeba.
kuna picha moja inaonesha lijitabu likubwa how to understand a woman. Lile lijitabu huwezi limaliza.
mI NIMESEMA WANAWAKE SI WOTE BAADHI NI MATATIZO WATU OOOO MWOGA UTAKUFA MASKINI OOO NA MATUSI KEDEKEDE AFADHALI NA WE UMEONA YAKO MENGI YAMEANDIKWA MAMAFACEBOOK MISS CHAGA SWEET NJO UWAELIMISHE HAWA WATOTO WA KIKE BAADHI WAJIFUNZE TOKA KWENU
Hisia zako zinaweza kuwa na ukweli fulani kwasababu zifuatazo;
Kwa mtu ambae anajitambua ni kazi sana kupata mke kwenye dunia ya sasa kwasababu mke ambae atamhitaji na ambae atafaa kuitwa mama
Lakini pia kuishi na binadamu tu ni kazi achilia ambali huyo binadamu ni mwanamke au laa,lakini pia kuitunza familia kunahitaji hekima na uvumilivu mkubwa sana na ndio maana hata kiongozi hupendekezwa ambae ameoa!
Tatizo ni kuwa baadhi ya wanaume wanadhani they did u a favor kukuoa maana supposedly huko nje huko kuna mabinti kibao wanamfuata. So wewe huku ndani inabidi uwe jembe lake na zaidi, utifue umfanyie kila kitu akirudi kazini apate kupumzika baba mwenye nyumba na ikibidi um worship maana una bahati sana kuolewa na mtu kama yeye! Ndoa ya hivi ni utumwa ndugu yangu, utumwaaaa!Mh! Hivi mbona wanawake (walio wengi) wakiingia kwenye ndoa wanawapenda waume zao, na wanawavumilia kwa mengi! Lakini inakua tofauti kwa wanaume, kosa dogo linakuzwa, mnaona kama mwanamke ni kero, mwanamke asikosee akauliza uko wapi? Atafokewa na kuchukiwa juu! Kwani tatizo ninini?!
Mh! Hivi mbona wanawake (walio wengi) wakiingia kwenye ndoa wanawapenda waume zao, na wanawavumilia kwa mengi! Lakini inakua tofauti kwa wanaume, kosa dogo linakuzwa, mnaona kama mwanamke ni kero, mwanamke asikosee akauliza uko wapi? Atafokewa na kuchukiwa juu! Kwani tatizo ninini?!
Kuishi na mwanamke ni bora nifuge mbuzi au kuku.....
alikuwa naye lakini uliona moto wake.
Wanawake huwa sio BINADAMU, wanawake ni WATU
Haya mbuzi mwenzao.....Mama yako na dada zako wote ni mbuzi na kuku, Safi sana umekuwa mkweli. Otherwise wao ni wanaume.
Haya mbuzi mwenzao.....
Ni mzigo mzito ukiona mtu anakaa na mke wake tena kwa muda mrefu anavumilia mengi sana ndio maana waliooa wanastahili pongezi. Hizi people bwana usipokuwa mvumilivu unaweza kuchizika ati.
Haya mbuzi mwenzao.....
jamani hata nyie tunawavumilia sana kila binadamu ana mapungufu yake acheni kujishaua hapa ,
Hivi kumbe wanaume ni wavumilivu eeh??