Tuijadili hii kauli juu ya wanawake

Tuijadili hii kauli juu ya wanawake

Leo wadau wengi siwaoni humu, watakuwa Jukwaa la Siasa wakifuatilia ESCROW...na mm ngoja nirudi huko..ikiisha nakuja huku.
 
hiyo kauli ina maana pana sana...coz sio wote waliooa wanao wake...

wengine hao wake zao ni kama tanuru la moto lina wawakia..

wapo waliooa kibao kikawageukia wakiwa ndani ya ndoa..

wengine walioa kwa kuchaguliwa mke..

wengine walioa kujiSHOW up au kama fashen tu..
(mfano anaoa kwa kuangalia gud luk ya nje bila kutathmini mengineyo)

wengine walioa kwa kuingizwa kingi kwa namna mabalimbali..(kurogwa n.k)

*****to mention few******

Therefore WENYE WAKE NA WANAOFEEL GOOD KUWA NAO, WAPEWE PONGEZI

mkuu naona umeamua kumaliza kila kitu.
 
Na tuwape pole wenye wake,,, na wenye waume tuwape pole......
Dedication; on my own by whitney
 
Mi bana lile lijitabu nilijaribu kulisoma wakati mmoja nikafika page ya 1 na 1/2 tu nikasarenda. Kwa sababu hata yaliyomo hayatakushawishi uendelee...

Kama ni mtihani tushajifelia!

mkuu au yanauwa pia hayaeleweki?
 
Na tuwape pole wenye wake,,, na wenye waume tuwape pole......
Dedication; on my own by whitney

hii kauli haina neno wenye waume, rudi kwenye kauli dada yangu.
 
Leo nimekutana na daladala limeandikwa hivi "wenye wake wapeni pongezi" mwisho wa kunukuu. Nikajiuliza kulikoni? ama kupata mwanamke ni kazi nzito inayostahili pongezi ama wanawake ni mzigo mzito na wenye uwezo wa kuubeba wapewe pongezi. Karibuni wana MMU.

Hisia zako zinaweza kuwa na ukweli fulani kwasababu zifuatazo;

Kwa mtu ambae anajitambua ni kazi sana kupata mke kwenye dunia ya sasa kwasababu mke ambae atamhitaji na ambae atafaa kuitwa mama

Lakini pia kuishi na binadamu tu ni kazi achilia ambali huyo binadamu ni mwanamke au laa,lakini pia kuitunza familia kunahitaji hekima na uvumilivu mkubwa sana na ndio maana hata kiongozi hupendekezwa ambae ameoa!
 
Mi nadhani aliyesema wapeni PONGEZI WENYE WAKE,hakumaanisha kuwa ni MZIGO MZITO,angemaanisha hivyo,angesema WAPENI POLE!Mke anaweza kuwa suluhisho la matatizo yako ktk nyanja yoyote.Wana uwezo wa kushauri/kuliwaza na mambo mengi chanya wanaleta ndani!
 
Hisia zako zinaweza kuwa na ukweli fulani kwasababu zifuatazo;

Kwa mtu ambae anajitambua ni kazi sana kupata mke kwenye dunia ya sasa kwasababu mke ambae atamhitaji na ambae atafaa kuitwa mama

Lakini pia kuishi na binadamu tu ni kazi achilia ambali huyo binadamu ni mwanamke au laa,lakini pia kuitunza familia kunahitaji hekima na uvumilivu mkubwa sana na ndio maana hata kiongozi hupendekezwa ambae ameoa!

Lakini mkuu viongozi wengi wazuri wameshindwa kuwa na wake, the case of Nelson Mandela, hata hapa kwetu tuliona.
 
Lakini mkuu viongozi wengi wazuri wameshindwa kuwa na wake, the case of Nelson Mandela, hata hapa kwetu tuliona.

Mandela hakuwa na mke?

Hapa kwetu akina nani?
 
Mh! Hivi mbona wanawake (walio wengi) wakiingia kwenye ndoa wanawapenda waume zao, na wanawavumilia kwa mengi! Lakini inakua tofauti kwa wanaume, kosa dogo linakuzwa, mnaona kama mwanamke ni kero, mwanamke asikosee akauliza uko wapi? Atafokewa na kuchukiwa juu! Kwani tatizo ninini?!
 
i wanda dunia ya leo watu wanajua wake ni mizigo na wanazidi oa.
 
Leo nimekutana na daladala limeandikwa hivi "wenye wake wapeni pongezi" mwisho wa kunukuu. Nikajiuliza kulikoni?

Nimecheka maana jana wakati naenda kazini lilikua mbele yangu Mandela road.
 
Ni mzigo mzito ukiona mtu anakaa na mke wake tena kwa muda mrefu anavumilia mengi sana ndio maana waliooa wanastahili pongezi. Hizi people bwana usipokuwa mvumilivu unaweza kuchizika ati.


Kwahiyo unaunga mkono mawazo ya Lara 1 kuwa ndoa ni "........... Institution"?
 
Mwanaume utakula kwa jasho lako, na mwanamke utazaa kwa uchungu................mmmmmmmmnh, A woman can be a real bitch and a real sweetheart for you but all in all it depend on how you treat her

Maneno kuntu haya....
 
Mwanaume utakula kwa jasho lako, na mwanamke utazaa kwa uchungu................mmmmmmmmnh, A woman can be a real bitch and a real sweetheart for you but all in all it depend on how you treat her

Hamzai kwa uchungu sikuizi mnakimbilia operation kwa kuogopa uo uchungu na wengne mnaliwa min-kabang
 
Back
Top Bottom