kaka naskia kilimo bado hakilipi kutokana na mfumo tunaotumia, mbolea, pembejeo, ardhi, primitive farming activities na kukosekana kwa uaminifu katika zoezi zima la kulima... na ninasikia baba lao ni wanunuzi wa mazao, wanakandamiza hadi mwisho
Mkuu naomba advice, nitafanyaje nifanikiwe katika dimbwi hilo la tope linalofelisha kilimo?