Tuiachie Serikali itoe majibu ya nani anahusika na shambulio la Lissu, msituchanganye wananchi

Kwa kuwa Lissu amejipambanua ni mwiba katika siasa za upinzani, tukio la kupigwa risasi mchana kweupe, tuombe Jeshi la Polisi liweke wazi matokeo ya upelelezi wake. Kufanya hivyo kutaondoa hofu zilizopo kuwa kuna siasa chafu nchini ili kuelekea kwenye utawala bora kufikia nia na lengo la Tanzania mpya ya uchumi wa kati.
 
- Well Mamen the Americans taught me to demand the reasonable truth beyond the doubt, ndio maana hatutawapa free pass si unaona walivyo panic na hii doze, tutaendelea kuwapa doze tu hata kama wanajifanya hawaelewi na kumbuka hawa wana njia zao za kukubali ukweli huwa wanatukana sana ujue wanakubali the truth

le Mutuz
We unazungumza haya mmetumwa na nani kwani maana unaonekana upo nyuma au mbele ya watu wasiojulikana
 
Mangapi wameachiwa na tukapewa matokeo? Usifumbe jicho la kushoto ukijiaminisha huoni ilihali jicho la kulia hujalifumba.
 
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....

naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!


....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Kaka umeeleweka sana. Mungu akubariki kwa kuwatoa tongotongo walioanza kuinanga Serikali
 
18119a8018119ecd4befed8f412b52d4.jpg


Kwa wanaojua magari, huku mjini magari haya yanaonekana zaidi na akina nani, nani wanatumia zaidi magari haya.
 
My man...hapa unatwanga maji kwenye kinu tu.

Hutoweza kabisa ku reason na hawa watu.

Wao tayari wanaamini wanachoamini. Wameshalewa chuki na siasa.

Wameshahitimisha na wanamjua aliyetaka kumuua Lisu.

They are stuck on stupid. And that absolutely renders it impossible to reason with them.
Mkuu msalimie mshumbusi!
 
Majibu kuhusu hao wengine uliowataja vipi serikali imeshatoa ili tuiachie na hili itoe majibu?
Ooh sorry utasema haijatoa kwa kuwa rais hakuwa Magufuli vipi mbona asitoe majibu kuhusu aliyemnyooshea Nape bastola au hata mauaji ya kibiti?
Ni lini hao watu wasiojulikana watatolewa majibu maana umeeleza matukio na kuomba tuiachie serikali itoe majibu lakini hujatueleza kama kwenye matukio husika uliyotaja serikali ilileta majibu.

Akina Lemutuz huwa mnakurupuka na kupaniki na hoja dhaifu sana na ndiyo maana wewe na dada yako Mange Kimambi hamuishi kublock watu wanaowapinga huko Instagram mnataka wote tuwe tunakubaliana na upupu kama huu kwa mfano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
- Well Mamen the Americans taught me to demand the reasonable truth beyond the doubt, ndio maana hatutawapa free pass si unaona walivyo panic na hii doze, tutaendelea kuwapa doze tu hata kama wanajifanya hawaelewi na kumbuka hawa wana njia zao za kukubali ukweli huwa wanatukana sana ujue wanakubali the truth

le Mutuz
Mkuu ngabu mlilelewa wote melini?
 
Kaka yangu ,Mungu yupo na hakawii,miaka 1000 kwa Mungu ni siku moja.Ndio maana huwa nawaambia watu,ukiona watu wanamatatizo Fulani kwa maisha yao lazima Kuna kitu kilifanyika na mtu kwenye familia.Mfano kukosa kitu kwenye maisha kuwa na magonjwa yasiyo pona nk.ni matokeo ya dhambi au laana.Kuna mtu nilimwuliza ukiona mtoto wa polisi ana maisha mazuri ujue baba yake alikuwa polisi mcha Mungu
 
Back
Top Bottom