Zungu Pule
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 2,218
- 1,215
Mbona unamtetea sana? bila shaka wewe ni mtoto wake au ndugu yake wa karibu!
Ninavyojua mimi, hakuna kiongozi msafi bongo wote ni mafisadi na wana uchu wa kujilimbikizia mali!
Huyu gavana amekataa nyumba kwa sababu tu haina bwawa la kuogelea? Halafu siajabu wala kuogelea hajui, hiyo swiming pool nadhani ni moja ya mapambo kwake!
Nilisema tangu mwanzo watu mnaongea tuu hamjui nini. Hayo ni magazeti.Kwanza kabisa nyumba hiyo ya Gavana ni mpya na hakuna ukarabati. hapo tayri gazetila mwamanchi linapotosha ukweli. Ukweli ni kwamba BOT imejenga nyumba mbili mpya moja ya Gavana na Naibbu gavana, na mpango huu ulikuwa tayari umeshakubaliwa before hata Gavana hajaingia hapo. Kumsema Gavana vibaya hapa na matusi nadhani si sahihi na lazima tufanye utafiti. Naona jamvini siku hizi watu hatusikilizi upande wa pili tunakurupuka na kuanza kutukana ambayo siyo sahihi. Kwa kuwa habari hii imetoka kwenye gazeti la mwananchi la kesho ambapo imetolewa kwenye mtandao, tusubiri wahusika wakiamkam watajibu mapigo kwa dataz, na hapo ndiyo tulijadili hili. Kuanza kushutumu watu bila dataz nadhani siyo sahihi ndiyo maana kuna wachangiaji wengine makini huku hawajathubutu kuchangia.
Pia nazidi kusimamia kuwa Gavana ni makini tena sana, na huyo anaeyesema alikuwa naibu enzi za Balali check your record. Yeye ameingia pale baada ya madudu ya EPA kufanyika sasa penye ukweli lazima tuseme na tusipende tuu kuwa washabiki. Kuna post zingine huku watu wanajibu kwa uwelewa mdogo. Tusubiri kesho na tutapata majibu ya BOT na naahidi kuyaweka hapa Jamvini. Tuache ushabiki na Hoja hujibiwa kwa Hoja.
9 Januari, 2008 - Kikwete amtimua Balali. Hivyo kutoka June, 2007 hadi January, 2008 Prof. Ndulu alikuwa moja wa manaibu Gavana wa Benki Kuu chini ya Daudi Balali.Thu Jul 12, 2007 - JK appoints Ndulu, Mkila & Reli as deputy governors.
President, Jakaya Kikwete has appointed Professor Benno J. Ndulu as Deputy Governor of the Bank of Tanzania. Prof. Ndulu is among three Deputy Governors appointed by the President to head different departments of the Central Bank. Prof. Ndulu will be Deputy Governor responsible for Financial and Economic Policies of the Central Bank.
Before his appointment, Professor Ndulu was the Adviser to the Vice President, Africa Region, of the World Bank.
According to a statement issued by the Permanent Secretary in the Ministry of Finance in Dar es salaam on Tuesday, Mr. Gray Mgonja, the appointments became effective in June, 2007.
acheni uzushi, Gavana anastahili kuishi kwenye nyumba yenye hadhi. Swimming pool ni muhimu. Hadhi ya Gavana mkuu na ya mtumishi wa kawaida wa serikali kuna tofauti kubwa mno. Acheni kumponda Prof. Ndulu, he is a genius...
...Dawa yao hawa ni kuanza kuchukua sheria mkononi. Maneno tu hayatasaidia. Tukishapoteza kama wawili au watatu, then watashtuka. They will then know that the wood is not safe anymore.
9 Januari, 2008 - Kikwete amtimua Balali. Hivyo kutoka June, 2007 hadi January, 2008 Prof. Ndulu alikuwa moja wa manaibu Gavana wa Benki Kuu chini ya Daudi Balali.
siku zote wajinga ndio waliwao..............wanapotoshwa kwa tumaneno tudogotudogo etu jiniasi.................................ndulo alifikia hata hatua kaifagilia kampuni feki ya upatu ya deci akingali anajua kuwa ni haramu sasa anajua nini huyo bwana..............hata hivyo hawezi kufanywa chochote kwani hata akina idrissa rashidi yule boss asiyeshikika wa tanesco anaskendo kama hiyo lakini ni mteule wa jk kama alivyo ndulo hivyo hawaguswi sisi tunapoteza muda tu na kuumiza vichwa...............Huyu bwana acheni kumsifia angekuwa genius asingekuwa anatoa statement za hovyo hovyo kuwa uchumi wetu usingeathirika na global economic crisis; halafu anakuja na blah blah zake za economic stimulus!! Angekuwa genius tungekuwa na double digit inflation hivi leo? Huyu ni kama marehemu aliyemtangulia hawana tofauti na nadhani hivi sasa wanatengeneza EPA 2!!!! Anataka nyumba yenye swimming-pool, kwao huko Ifakara/ Mahenge kuna swimming pool?
unategemea nini hap???????????????????????////9 Januari, 2008 - Kikwete amtimua Balali. Hivyo kutoka June, 2007 hadi January, 2008 Prof. Ndulu alikuwa moja wa manaibu Gavana wa Benki Kuu chini ya Daudi Balali.
Mkuu Mag3, with all due respect, Kikwete kweli alimtimua Balali? Sidhani kama kawahi kumtimua mtu!
Amandla......
What? yaani hujui kwamba BoT ni independent institution na final executive power ziko kwa gavana? do your homework!
Mwizi tu huyu hana tofauti na wale Profesa Uchwara!
.. Naona jamvini siku hizi watu ...
.. Join Date: Thu Feb 2008
Posts: 8
Thanks: 0
Thanked 2 Times in 1 Post
Rep Power: 0
What? yaani hujui kwamba BoT ni independent institution na final executive power ziko kwa gavana? do your homework!
Mwizi tu huyu hana tofauti na wale Profesa Uchwara!