Tuhuma dhidi ya JK zaikoroga CCM

Njaa zitatuua. Lazima atetee mkate wake. Kuna vita ya madaraka. Enzi za awamu ya kwanza na ya pili viongozi hawakufaidi sana kama sasa hivi, hata ungalikuwa wewe kipindi hiki hayo ungeliyafanya maana kiongozi ni bora kuliko walalahoi wake. Ukitekeleza yale yanayostahili kesho utakula nini? Mfumo mzima wa uongozi umeparaganyika. Hata mlalahoi kwenye anga zake ni mjuvi.
 
Nakubaliana na Makamba hapo kwa utaratibu kwamba tutajua kama ni siasa ama serious pale inapokuja kulinganisha maneno vs vitendo.Ndio Qures na wezake wamesema hayo,bottom line ni vikao vya uteuzi na si maneno tu,wananchi wanataka moja.

Josh Michael said:
Alisema ni vyema watu hao wakafahamu kuwa mgombea urais wa CCM anateuliwa kwa mujibu wa taratibu za chama kupitia vikao mbalimbali hivyo, wazo binafsi halina nafasi.
 
Unasema udhaifu? Meremeta iligunduliwa ktk awamu gani? Na kigugumizi cha kuwajibisha ni cha awamu ya rais yupi? Kagoda je? Pia richmond ni awamu ya 1,2,3 au ya nne? HUU NDIO UDHAIFU ULIYOWAHI KUWEPO!!!
 
Tatizo linakuja, Makamaba anasema mgombea wa CCM anapatikana katika vikao rasmi na si kwa maoni ya watu binafsi.

Atajuaje kwamba haya aliyosema Qaresi ni maoni ya mtu binafsi au consensus ya chama kabla ya vikao vya chama?

Makamba siku hizi ana divination powers za kujua vikao vya CCM vitaamua nini kabla ya wakati?

Maoni ya consensus / majority katika vikao yanajengwa na ushawishi wa vikundi mablimabli kabla ya vikao, na kikundi hiki cha watu wa Nyerere Foundation kinaona Kikwete hafai.

Kwa hiyo Makamba akiwakemea kwamba mgombea wa CCM anapatikana kwa vikao rasmi, kina Qaresi nao wanaweza kumkemea Makamba kwamba mgombea wa CCM anapatikana katika vikao rasmi, kwa hiyo angojee vikao rasmi, wao kina Qaresi wanajenga hoja za ushawishi kabla ya vikao rasmi, which is quite rational.
 
Kwa kanuni hii vyama visivyoheshimika ni Vingi Tanzania...Kauli kama hii au zaid ilitolewa na Mwandishi Kibanda kwa wafuasi/wapenzi wa Zitto.
Kwani Kibanda ni katibu mkuu wa chama gani Tanzania hii?Mkuu mbona unakuwa unamix madawa!
 
marekani hawafanyi kitu bure bila manufaa...hata wakati walipokuwa wamemfanya blair akaitwa kambwa ka bush[poodle] walitaka uingereza ipeleke majeshi iraq na afrighanistan......

marekani wanapenda ku take advantage ya marais wadhaifu..........they called them good men!!!..wanataka uranium yetu na madini mengine.......wewe unafikiri rais anatakiwa apendwe na wageni au raia wake!!! Anawajibika kwa nani mwisho wa siku!!!
anayejuwa uzuri au ubaya wa mke ni mwenye mke...........sio hawara!!!



Very true .. nakumbuka kwenye documentary moja ya Mobutu .. George Bush (Sr) alimwambia Mobutu ... " we are very proud of your leadership in Africa, Mr President" na watoto wa Mobutu walikuwa wanakwenda likizo kwa Bush nahisi wengine alikaa nao kwa muda not sure... Lakini kama unavyojua waamerika they dont mean what they say mara nyingi wanakuzuga tu .. wanataka maslahi yao yatimizwe na hivyo wanajua viongozi wetui wanavyopenda sifa aaah wao wanazitoa halafu unazogezewa mkataba usaini.. wewe ooh napendwa...
 
Nipo na tbc tv hapa;
  • Asema JK ni maarufu kuliko CCM
  • Wanaolalamika, Qares na Nkangaa walikuwa na wateule wao sana wanataka wamtose JK ili walete mgombea wao
  • Vyama vyote, CCM, CHADEMA na NCCR wana wanachama wafanyabiashara kwa hiyo wanahitaji wenye pesa maana wakiita maskini watapata kuku.
 
Halafu wanaemjadili mwenyewe yupo caribean anakula kuku.....

Huku watu wanajadili kumtosa...

Hahahaha.
 
"Mimi ninang'atuka na ninaamini bila ya CCM imara nchi itayumba" Mwalimu Nyerere
 
Kwangu mimi nilikuwa namfagilia sana makamba alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar, na ninadhani ilikuwa ndiyo maximum capacity yake ya ku deliver.

Hii ya kuwa msemaji wa chama kikubwa na chenye interest mchanganyika kama ccm nadhani inabidi waangalie upya hivi vyeo vyao vya kupeana, ni vyema iangaliwe uwezeo wa mtu hata kama cheo ni cha uteuzi.
 
Njaa zitatuua. Lazima atetee mkate wake. Kuna vita ya madaraka. Enzi za awamu ya kwanza na ya pili viongozi hawakufaidi sana kama sasa hivi, hata ungalikuwa wewe kipindi hiki hayo ungeliyafanya maana kiongozi ni bora kuliko walalahoi wake. Ukitekeleza yale yanayostahili kesho utakula nini? Mfumo mzima wa uongozi umeparaganyika. Hata mlalahoi kwenye anga zake ni mjuvi.

Makamba anatetea mkate wake ,anajua yupo pale kwa ridhaa ya Jakaya kwahiyo yeyote atakayemkosoa Jakaya kama alivyofanya Qares anahatalisha uhai wa Makamba [ kumbukeni huyu bwana alianzia kwenye ukatibu kata]na ni lazima atakuja kumtetea boss wake hata ikibidi kutumia matusi ya nguoni!! Haya ni matokeo ya uongozi ambao uteuzi wa watendaji wake unaongozwa na PATRONAGE na sio MERIT!! Ingekukuwa meritocracy inaongoza leo hii Makamba na wengine wengi katika serikali ya awamu hii wasingekuwemo!!
 
Hypothesis 1: Kwa Makamba kuendelea 'kula' inategemea sana uwepo wa Jk madarakani kama Rais.

Ha ha Ha!Nakubaliana na wewe lakini pia ikumbukwe kuwa Makamba ni kibaraka wa Rais hata akiambiwa arambe mavi ataramba.
 
Common sense ya makamba...ndio hiyo.
Wanasema common sense is not common sio.
 
1. Huo utaratibu wa raisi aliyepo madarakani kugombea kipindi cha pili moja kwa moja sidhani kama ipo kwenye katiba ya chama. Ni basi tu mazoea ni kama sheria.

2. "Mimi mwenyewe sikuwepo kwenye kongamano hilo. Wala sijui mapendekezo yao. Siwezi nikatolea maoni hoja za mtu mmoja mmoja alizotoa kwenye Kongamano hilo. Nitakapopata mapendekezo ya jumla ya taasisi hiyo, nitakawa katika nafasi nzuri ya kutoa maoni yangu."

Yeye kama katibu mkuu wa chama kwa nini atoe maoni binafsi? Mapendekezo yaki wafikia wasome halafu yeye atoe msimamo wa chama. huu uswahili wa katibu mkuu kutoa toa tu maoni binafsi ndiyo kisa cha yeye kumtetea raisi utafikiri it's a personal issue.

3. Makamba ata semaji maoni binafsi hayana nafasi kwenye kumchagua mgombea? Kumpata mgombea si mnapiga kura? Sasa hiyo kura ya mtu si ndiyo maoni yake binafsi ya nani awe mgombea? au? Ana fanya chama kiwe na muonekana wa kidikteta.
 
Kikwete is widely popular, says Makamba

NURU MANKO, 4th December 2009 @ 11:29
Daily News

THE ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the majority of Tanzanians will rally behind president Jakaya Kikwete and vote him into office for a second term in next year's national general elections because his performance as president has impressed so far.

This was said today by the CCM Secretary General, Mr Yusuf Makamba. Mr Makamba dismissed recent public criticisms levelled against Mr Kikwete and his administration by a few former public civil servants. He argued that it was such people who did virtually nothing while in government.

He was reacting to the false information published by some newspapers in the country criticizing the ruling party and its chairman, President Jakaya Kikwete. The newspapers had claimed that CCM, as a ruling political party, was no longer in the president's sight.

Mr Makamba, who was addressing a press conference in Dar es Salaam, shot down the accusations saying that President Kikwete is the most eligible potential aspirant who would be given another opportunity to lead the nation in next year's national general elections.

"The ruling CCM and the majority of Tanzanians will rally behind (the incumbent aspirant) President Jakaya Kikwete in next year's national general elections," he insisted.

He added, "Those who think the president has not taken appropriate action on corrupt leaders are wrong. He has actually done a lot," he asserted.

Mr Makamba said that the ruling CCM is widely popular in the country. Its chairman, President Kikwete is equally popular. He said that CCM was a free political party and was not for rich people as it is alleged by some few people in the country.

Echoing Mr Makamba's remarks, a member with the National Electoral Commission (NEC) Mr John Komba, said that President Kikwete has ushered in a lot development achievement in the government and in the public sector in a short time.

"I believe that members of the public voted for Mr Jakaya Kikwete according to the electoral procedures," he said. He added that in that short time the president and his administration have implemented many development projects countrywide, including roads.
 
Back
Top Bottom