Tuhonge kwa "mahesabu"

Tuhonge kwa "mahesabu"

Kila MTU na maisha yake, Ila hongera kwa kujenga, unaoa lini sasa?????
 
Sometimes its better to keep silent than to tell others what you feel, b'se a word boring people use to describe fun people.
Tafsiri mkuu.
Muwe mnaandika lugha ya taifa wenzenu hatukubahatika kusomeshwa na pia mambo ya bakora tuliyaogopa tukachagua upande mwingine wa maisha ili tutengeneze mizania ya asili.
 
Toa kisebengo hapa jali maisha yako ndugu hakutii hasara kwa raha zake na humpi faida kwa jitihada zako unazozifikiri na kuziita maendeleo rudi chuo ukasome indicators of development nawe utaelewa maana yake
 
siku akipata ajari akavunjika miguu ndo atagundua umuhimu wa MKE mana ktk haya maisha hasa sisi wa maisha ya kati kati ukipatwa na majnga km haya hata km unapesa lkn kuna mambo mengne lzm akufnyie MKEO
sema watu wanajisahau tu

ila ni maisha yake aloamua lkn inauma sana kuona best yako ambaye unajua alipotoka ingawa sasa hv huwezi jua anachowaza lkn kutokana na mwenendo wake mbovu wa maisha unaweza kihisi wapi anaelekea hsa ukihisi anaelekea shimoni tena la kina kirefu mbele giza totolo lzma uumie pole sana mkuu
usichoke kumlingania jtahidi hvyo hvyo ipo siku atabadilika
 
Mafao ya uzeeni yapo. Kipindi hicho 2050 atajenga bonge la nyumba linaloendana na wakati huo.
 
Toa kisebengo hapa jali maisha yako ndugu hakutii hasara kwa raha zake na humpi faida kwa jitihada zako unazozifikiri na kuziita maendeleo rudi chuo ukasome indicators of development nawe utaelewa maana yake
Usisahau siku zijazo atamuita fisadi au freemason ati itakuwaje awe na nyumba mbili ilhali tumemaliza shule wote. Huyu anaiibia serikali. Wanadamu ndivyo tulivyo wakati mwenzako anajinyima wewe unaenjoy uzeeni unawaita mafisadi!!
 
Kuna shida kwani? Kuhonga kwa namna hiyo ni raha sana
Kutakuwa na hasara mara mbili iwapo anaowahonga wana akili kama ya Wema, kwenda kutunza majukwaani bila kufanya kitu cha maendeleo. Ila kama ni kama Tato wangu ambaye akihongwa anaporomosha magholofa hapo angalau analijenga taifa la kesho ingawa kwake ni msoto wa baadaye.
 
Back
Top Bottom