Wakuu, inatosha kusikia yaliyojiri tusitolewe nje ya mjadala moto uliopo, nao ni GAMBA LIMEVULIWA au ndio ngonjera zile zile za CCM kututoa huku kutupeleka kule. Kuna mwenye habari yeyote kuhusu vikao vya Msekwa na RACHEL atupashe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.