Tufunguane ubongo

Ukiingia kwenye hii biashara na ukataka uzalishe kwa wingi, na ili upate faida itakubidi ununue nondo kiwandani kwa tani
 
Kuna mshikaji alisomea automobile engineering NIT sasa alikuwa anadis sana mafundi wa garage za kawaida anasema mafundi wa miembeni kuna gari ikaja pata shida aliezea mambo kibao ishu ilikuwa ni communication ya microcontrollers akafika hadi kwenye CAN watu wakamwambia acha porojo wewe ikaitwa boda akapelekwa mbona alitafutana. Kutumia tu Multimeter ilikuwa kimbembe.

Kitu kukileta kwenye uhalisia kuna njia zake siyo from scratch tuu.

Mfano ukiona mtu anasolder kama rahisi sanaaa solder wewe sasa ujawahi shika hata gun unatazama YouTube tu.
 
Wenzetu wa Pakistan, Wa hindi wanafanya sana hizi kazi ki -'local', ata hii mitungi ya gesi wanatengeneza kwenye mazingira ya kawaida sana, ambapo ata sisi tunaweza tukiamua kufungua ubongo.​
 
Upo sahihi back then nikiwahi uza reki unanunua reki tano zinakaa miezi 6 ndo zinaisha uhitaji wake mdogo mno njo na wazo lingine tuone hebu
Kuhusu masoko, kuna watu waliosomea na wakaiva kweli kweli, soko lako kubwa litakuwa ni mashule, vyuo, magereza n.k
 
Una welding machine? Au unachomelea kwa kuni?
 
Ni kuamua kufungua ubongo tu kama mleta mada anavyosema. Vitu kama welding au soldering binafsi nimejifunzia YouTube, I'm not pro lakini kazi zangu ndogo nafanya bila shida.

Changamoto hatufungui bongo zetu!
 
Hizi fani za ujuzi, zinahitaji utundu ili uwe vizuri.

Mfano, mtu aliyesoma mechanical engineering, anatakiwa aandae michoro kutoka kichwani ya mashine mbalimbali, ampatie mchomeleaji , watengeneze mashine, na baadaye wawauzie wananchi.

Mfano: mashine za kukoboa, kufyatua matofari, lift n.k​
 
Kabla ya kununua mashine ni lazima uwe na elimu ya kuchomea. Au kuchomea hakuhitaji elimu?
Si lazima wewe uwe na huo ujuzi; Wewe utakuwa ndio mkurugenzi, unakuwa na timu yako yenye ujuzi wa uchomeleaji, unaweza kuajiri kijana yeyote mwenye ujuzi anayezurura mtaani.​
 
Anazan n kazi rahisi hvyo.na hzo nondo na flat bar zinakujaje hapo bila kununua .bado cutting disk.red oxde,rangi yakupiga reck ipendeze ,umeme,stick,..km c fundi umlipe bado fundi .reck moja inakost matengenezo mpk ufundi labda elfu 20 ...jee sokon utaiuza kwa bei gan ili upate faida ww na ofc iweze kujiendeshaa..

Bado c rahisi km mleta mada anavyozan mkuu
 
Ni kuamua kufungua ubongo tu kama mleta mada anavyosema. Vitu kama welding au soldering binafsi nimejifunzia YouTube, I'm not pro lakini kazi zangu ndogo nafanya bila shida.

Changamoto hatufungui bongo zetu!
Yah sahihi mkuu ndiyo maana yangu inahitaji kujifunza na ku practice mara kwa mara zaidi ndiyo inakaa sasa ila baadhi ya watu wengi sana wakisoma wanaona kama tayari wamemaliza.
 
Tunaona ni vigumu kwa sababu bado hujafungua ubongo
 
Na ndiyo engineer inatakiwa iwe hivyo kitu kianzie kwenye karatasi kiwe na specs fulani ili kije kwenye uhalisia japo tuwe wawazi ma engineer wetu wengi wanawahi kuridhika sana kwenye utendaji bado sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…