everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Kwa vile PM Mizengo Pinda na Madaktari wamekubaliana kumalizika kwa mgomo na madaktari kurudi kazini, kinachofuata naomba sasa Serikali ifanye tathmini ya vifo na madhara mengine yaliyokana na mgomo huu. Pamoja na kwamba PS Nyoni na CMO Mtasiwa wamesimamishwa kazi, kwa sababu ya mgomo huu, lakini tunataka facts ya vifo vilivyotokea na vile vile wengine zaidi wawajibishwe kutokana na mgomo vifo au madhara hayo.
Nawasilisha
Nawasilisha