Toweni CCM madarakani kwani jibu hamlijui?
Toweni CCM madarakani kwani jibu hamlijui?
inatia hasira kibinadamu, but any way tukibadirika kifikra na kujikomboa kiakili
na serikali itabadirika maana watapatikana viongozi wenye utu watakaopatikana kwa
kuchaguliwa na watu waliobadirika na kujikomboa kutoka kwenye akili na fikra kandamizi
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Ni kweli Ngambo NgaliLini anyisile? kama kweli tuna mapenzi na nchi yetu basi kitu hiki kifanyike oktoba 25 miezi mitano toka leo. je wapiga kura wameamka kiasi hicho au ni maneno tu?
Ni kweli Ngambo Ngali
tatizo, sehemu kubwa ya Watanzania, tumekuwa akina Esau, kuuza utu kwa sababu ya njaa tu
tena ya siku moja ambayo hulisumbua tumbo kwa mda mfupi,
kumbuka kuwa ccm inawategemea sana majuha na wajinga ambao ni wengi mno nchini
maana mi hainingii akilini kuona ccm inazidi kujitanua katikati ya watu ambao imewatesa,
na inaendelea kuwatesa, ama hii ni kwa sababu ya ubaridi wa raia?
Ningekuwa WM Pinda ningewaita TCRA, EWURA, SUMATRA, NSSF, PPF na taasisi nyingine za UMMA zinazokusanya mapesa kwa mujibu wa sheria zilizozianzisha wamalize tatizo hili mara moja. Wanajenga tu maghorofa huku Watanzania kwa mamilioni wanateseka kwa huduma muhimu kama hizi!
hahahahahaaa.Sisiemu kama wanatumia vimizizi vile kurubuni watu.Mfano hao wasanii wanashawishiwa na wanakubali kinyume na maneno yao ya harakati za mapinduzi.Ndio mafanikio yenyewe hayo mawaziri wanataka kuanza ziara kuyaelezea!!!mweeee nji hii!
Ukishawishiwa jambo baya na SISiem waambie Baba hapendiiii
yaaa hiyo itasaida sana mi najaribu usema kuendelea kutawaliwa na ccm ni jangaWatanzania tunaendekeza sana matumbo, njaa za siku moja ndo sababu ya matatizo ya miaka mitano, tuwaelelze hivyo wananchi mweleze mwanao, kaka yako, dada yako jirani yako, nyumbani, kwenye basi, sokoni msikitini, kanisani mueleze kuwa kama miaka 50 baada ya uhuru watu wanalala chini hospitali, waafunzi hawana madawati, barabara hakuna mijini na vijijini je wataweza kujenga miaka mitano tutakayoongeza?
Kama hapo mwanzo tulifanya makosa kuwa na imani na chama kisicho na mwelekeo wa maendeleo hatuna budi kusahihisha makosa hayo na njia pekee ya kufanya hivyo ni kuchagua chama kingine.