Tufahamishane bei za simu

Tufahamishane bei za simu

bona

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2009
Posts
3,798
Reaction score
1,444
Nimeleta huu uzi apa kuna kitu kinanichanganya kuhusu bei zaz simu hasa izi smart phone, kwa mfano launch price huko ulaya na us unakuta ni ndogo kuliko price kwenye maduka yetu hapa bongo mda mwingine hata twice as much...

Kuna kiini macho gani? mawazo yangu labda siko sahihi ni kwamba wafanyabiashara wanajiongezea tu bei ilimrad au kwa sababu hatuna dealership?? na vp midcom ni dealer wa nokia yeye price zake mbona kama maduka mengine tu!!! nahic bongo tunanunua simu very expensive kuliko hata europe!! nini kifanyike tupate hizi smartphone kwa bei nafuu??
 
Nimeleta huu uzi apa kuna kitu kinanichanganya kuhusu bei zaz simu hasa izi smart phone, kwa mfano launch price huko ulaya na us unakuta ni ndogo kuliko price kwenye maduka yetu hapa bongo mda mwingine hata twice as much... kuna kiini macho gani? mawazo yangu labda siko sahihi ni kwamba wafanyabiashara wanajiongezea tu bei ilimrad au kwa sababu hatuna dealership?? na vp midcom ni dealer wa nokia yeye price zake mbona kama maduka mengine tu!!! nahic bongo tunanunua simu very expensive kuliko hata europe!! nini kifanyike tupate hizi smartphone kwa bei nafuu??

Gharama za Usafirishaji

Import duty

TAX

na faida

Ndio vinavyo fanya simu ziuzwe bei ghari, import duty na tax pekeyake vinakaribia 50% ya bei ya bidhaa iliyo nunuliwa bado gharama za usafiri na faida ya muuzaji, so ukiambiwa simu bei mara mbili na inayouzwa ulaya usishangae
 
Nimeleta huu uzi apa kuna kitu kinanichanganya kuhusu bei zaz simu hasa izi smart phone, kwa mfano launch price huko ulaya na us unakuta ni ndogo kuliko price kwenye maduka yetu hapa bongo mda mwingine hata twice as much... kuna kiini macho gani? mawazo yangu labda siko sahihi ni kwamba wafanyabiashara wanajiongezea tu bei ilimrad au kwa sababu hatuna dealership?? na vp midcom ni dealer wa nokia yeye price zake mbona kama maduka mengine tu!!! nahic bongo tunanunua simu very expensive kuliko hata europe!! nini kifanyike tupate hizi smartphone kwa bei nafuu??

kama unanunua simu ya kuanZia laki 4 bongo kwa midcom, basi unaweza ukatoa hela ya nauli kwenda kenya na nauli ya kurudi na hela ya kukaa guest ukanunua simu kenya. cost yote ya kununua simu kenya ikawa ndogo kuliko kununua tz.

juzi nilikua napita madukani natafuta asha 501 nkakuta duka wanaiuza 220,000 yani haiingii akilini kabisa simu ambayo kwa sasa bei yake ilitakiwa iwe 100,000 hadi 120,000 hata kama ni kodi ila si kihivyo.

at same time kuna maduka yapo uhuru na msimbazi pale wanauza simu kwa jumla (yapo ndan ndan kidogo) wanauza simu bei rahisi kuliko hata anayotangaza nokia mwenyewe mfano kitochi kipya kinauzwa elf 30 nokia anauza dola 20 (elf 32),

hua nakaa nafkiria mi mwenyewe sipati jibu. ishu nyengine kwanini galaxy grand, galaxy s3 zinauzwa bei zake halali? grand inapatikana range ya laki 5 hadi 6 na duniani huko inauzwa hivyo hivyo same na s3 mint.

mi naona midcom wanazingua na wao ndo walitakiwa wauze rahisi sababu wanaingiza simu nyingi zaidi kama ni kodi watakua wanakatwa chache kuliko wengine
 
Nimeleta huu uzi apa kuna kitu kinanichanganya kuhusu bei zaz simu hasa izi smart phone, kwa mfano launch price huko ulaya na us unakuta ni ndogo kuliko price kwenye maduka yetu hapa bongo mda mwingine hata twice as much... kuna kiini macho gani? mawazo yangu labda siko sahihi ni kwamba wafanyabiashara wanajiongezea tu bei ilimrad au kwa sababu hatuna dealership?? na vp midcom ni dealer wa nokia yeye price zake mbona kama maduka mengine tu!!! nahic bongo tunanunua simu very expensive kuliko hata europe!! nini kifanyike tupate hizi smartphone kwa bei nafuu??

Mkuu pia usichanganye na zile bei za simu zenye contract ambazo ni rahisi sana kwakuwa zina contract
 
nimenunua iphone 4s uk kwa pound 350,je ni sahihi au hapa bongo wanauzaje?
 
hiyo ni bei sawa kabisa....mimi kabla sijanunua kitu bongo huwa naangalia na price za online then napiga hesabu zangu!!!!!mfano hizi smartfon kubwa kubwa bei ya bongo na huko mitandaoni huwa karibu sawa tuu
 
hiyo ni bei sawa kabisa....mimi kabla sijanunua kitu bongo huwa naangalia na price za online then napiga hesabu zangu!!!!!mfano hizi smartfon kubwa kubwa bei ya bongo na huko mitandaoni huwa karibu sawa tuu

Hivyo ni bora kununulia bongo au nje
 
Mkuu pia usichanganye na zile bei za simu zenye contract ambazo ni rahisi sana kwakuwa zina contract

una maana gani unaposema simu za contract?
 
kama unanunua simu ya kuanZia laki 4 bongo kwa midcom, basi unaweza ukatoa hela ya nauli kwenda kenya na nauli ya kurudi na hela ya kukaa guest ukanunua simu kenya. cost yote ya kununua simu kenya ikawa ndogo kuliko kununua tz.

juzi nilikua napita madukani natafuta asha 501 nkakuta duka wanaiuza 220,000 yani haiingii akilini kabisa simu ambayo kwa sasa bei yake ilitakiwa iwe 100,000 hadi 120,000 hata kama ni kodi ila si kihivyo.

at same time kuna maduka yapo uhuru na msimbazi pale wanauza simu kwa jumla (yapo ndan ndan kidogo) wanauza simu bei rahisi kuliko hata anayotangaza nokia mwenyewe mfano kitochi kipya kinauzwa elf 30 nokia anauza dola 20 (elf 32),

hua nakaa nafkiria mi mwenyewe sipati jibu. ishu nyengine kwanini galaxy grand, galaxy s3 zinauzwa bei zake halali? grand inapatikana range ya laki 5 hadi 6 na duniani huko inauzwa hivyo hivyo same na s3 mint.

mi naona midcom wanazingua na wao ndo walitakiwa wauze rahisi sababu wanaingiza simu nyingi zaidi kama ni kodi watakua wanakatwa chache kuliko wengine

Mkuu mimi naulizia kwa hizi smartfon zetu ni ipi yenye quality nzuri ya picha kwa usiku?
Nimewazia sana juu ya Lumia 1325, kuna nyingine yenye picha nzuri zaidi kwa usiku?
Asante..
 
mkuu 123Kape airport zinakuwa zinaletwa na nani na cost yake inakuaje?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi naulizia kwa hizi smartfon zetu ni ipi yenye quality nzuri ya picha kwa usiku?
Nimewazia sana juu ya Lumia 1325, kuna nyingine yenye picha nzuri zaidi kwa usiku?
Asante..

kwa budget ya tsh ngapi kaka? ujue kuna simu za laki 2 hadi million 2 siku hizi, hafu zote zina flashlight kwaajili ya picha za usiku. ebu tuambie budget yako tukukadilie.
 
kwa budget ya tsh ngapi kaka? ujue kuna simu za laki 2 hadi million 2 siku hizi, hafu zote zina flashlight kwaajili ya picha za usiku. ebu tuambie budget yako tukukadilie.
mkuu budget yangu ina range Tshs laki tano mpaka sita.
Lengo kuu hasa lilikuwa kupata Lumia 1325, ama simu kali zaidi yake.
Lakini kigezo hasa ni kupata quality photo wakati wa usiku na vinginevyo.
Nishauri mkuu nichukue simu gani..
 
mkuu budget yangu ina range Tshs laki tano mpaka sita.
Lengo kuu hasa lilikuwa kupata Lumia 1325, ama simu kali zaidi yake.
Lakini kigezo hasa ni kupata quality photo wakati wa usiku na vinginevyo.
Nishauri mkuu nichukue simu gani..

Kama shida yako picha tu basi Nokia 1020 itakufaa zaidi.
 
Kama shida yako picha tu basi Nokia 1020 itakufaa zaidi.

lumia 1020 imedrop hadi dola 300-350 kwa budget hio unaipata kabisa. ila tatizo bongo tunachelewa kufanya mabadiliko ya bei maana hii simu mwaka jana ilikuwa inauzwa dola around 600.

ukipata duka ambalo wanaleta stock mpya mara kwa mara anaweza akapata kwa bei hio.
 
lumia 1020 imedrop hadi dola 300-350 kwa budget hio unaipata kabisa. ila tatizo bongo tunachelewa kufanya mabadiliko ya bei maana hii simu mwaka jana ilikuwa inauzwa dola around 600.

ukipata duka ambalo wanaleta stock mpya mara kwa mara anaweza akapata kwa bei hio.

chief M,

1. window phone zimeizidi kitu gani simu za android?

2. ni kweli Lumia,Note II,Htc mini na Moto G zinatunza chaji kuliko smartphone yeyote?

3. kwenye soko la smartphone ni simu gani once zikiharibika hazitengenezeki?
 
chief M,

1. window phone zimeizidi kitu gani simu za android?

2. ni kweli Lumia,Note II,Htc mini na Moto G zinatunza chaji kuliko smartphone yeyote?

3. kwenye soko la smartphone ni simu gani once zikiharibika hazitengenezeki?

1. swali la windows phone vs android ni gumu maana hizi ni operating system tofauti kabisa kimuonekano na jinsi zinavyofanya kazi ni vizuri kabla hujanunua windows phone ukaangalia kwa rafiki au ndugu kwanza kama utakua na tatizo niulize nitakusaidia. mimi naitumia windows pjhone haina apps nyingi kama android ila ipo smooth kila kitu kinafanyika kwa haraka na pia inapata updates mara kwa mara.

kama unataka kujua simu zinazokaa na chaji sana tembelea adress hii
Battery life tests - GSMArena.com
zipo lumia zinazokaa na chaji na zisizokaa na chaji, htc na motorola simu zao nyingi zina battery life average.

3. hakuna simu zisizotengenezeka ila zipo ambazo ni ngumu kutengeneza na zipo ambazo ni rahisi.

simu nyingi za unibody ni ngumu kuzitengeneza, nikisema simu za unibody namaanisha simu ambazo hazina mfuniko wa nyuma ambao ukitoa unaona battery. mfano wa simu za unibody ni iphone zote, htc one m7, m8, lumia 1020 nk.

htc m7 ilitia fora kutotengenezeka, battery tu inatakiwa utoe kioo na motherboard ili kuifikia. ila simu hizi za unibody nazo zinakuwa zinavutia ila utengenezaji wake ndio sio.
 
1. swali la windows phone vs android ni gumu maana hizi ni operating system tofauti kabisa kimuonekano na jinsi zinavyofanya kazi ni vizuri kabla hujanunua windows phone ukaangalia kwa rafiki au ndugu kwanza kama utakua na tatizo niulize nitakusaidia. mimi naitumia windows pjhone haina apps nyingi kama android ila ipo smooth kila kitu kinafanyika kwa haraka na pia inapata updates mara kwa mara.

kama unataka kujua simu zinazokaa na chaji sana tembelea adress hii
Battery life tests - GSMArena.com
zipo lumia zinazokaa na chaji na zisizokaa na chaji, htc na motorola simu zao nyingi zina battery life average.

3. hakuna simu zisizotengenezeka ila zipo ambazo ni ngumu kutengeneza na zipo ambazo ni rahisi.

simu nyingi za unibody ni ngumu kuzitengeneza, nikisema simu za unibody namaanisha simu ambazo hazina mfuniko wa nyuma ambao ukitoa unaona battery. mfano wa simu za unibody ni iphone zote, htc one m7, m8, lumia 1020 nk.

htc m7 ilitia fora kutotengenezeka, battery tu inatakiwa utoe kioo na motherboard ili kuifikia. ila simu hizi za unibody nazo zinakuwa zinavutia ila utengenezaji wake ndio sio.

Kweli kabisa. Mimi htc one m7 imegoma kabisa kushika mtandao. Mafundi wamechemsha
 
simu nyingi za unibody ni ngumu kuzitengeneza, nikisema simu za unibody namaanisha simu ambazo hazina mfuniko wa nyuma ambao ukitoa unaona battery. mfano wa simu za unibody ni iphone zote, htc one m7, m8, lumia 1020 nk.

htc m7 ilitia fora kutotengenezeka, battery tu inatakiwa utoe kioo na motherboard ili kuifikia. ila simu hizi za unibody nazo zinakuwa zinavutia ila utengenezaji wake ndio sio.
na moto pia wameingia kwenye huo mkumbo wa htc na iphone
 
Back
Top Bottom