danione
Member
- Oct 26, 2011
- 58
- 5
lumia 1020 imedrop hadi dola 300-350 kwa budget hio unaipata kabisa. ila tatizo bongo tunachelewa kufanya mabadiliko ya bei maana hii simu mwaka jana ilikuwa inauzwa dola around 600.
ukipata duka ambalo wanaleta stock mpya mara kwa mara anaweza akapata kwa bei hio.
Chief Mkwawa Pole na Kazi..
Mm Pia bajeti yangu ni Laki Tano naitaji simu nzuri yakutumia campun eyote naomba unishauri sim gan nzuri kwa hiyo bajeti sana sana na mimi nacho angalia ni camera ila sim ikiwa adroid itakuwa poa naomba unishauri ninunuwe sim gani.