eldamaty_persier
Senior Member
- Mar 18, 2024
- 118
- 285
- Thread starter
- #61
Mtafika mbinguni mmechoka sana😅Kiuhalisia wanaume wengi huwa hatuwezi kumtamkia moja kwa moja mwanamke kuwa "sikupendi" hasa tukionyeshwa na wanawake kuwa tunapendwa kuna muda huwa tunawatafutia makosa ili tuachane tukikosa hayo makosa huwa tunaanza kujitenga kwa kukata mawasiliano.