Tuendelee au nimuache aende zake

Tuendelee au nimuache aende zake

Watu washaichakata wee mi kuna mmoja ivo ivo alijirudisha ila aliniacha mwenyewe nikapona hali nikamtoa kabisaaa , nikaja sikia stroy zake kuna kibabu kimemfungulia duka kinamla tu mwishowe duka likafa akawa anafanya kazi restaurant analiwa liwa ovyo, mi nishamtoa moyoni ata sikushtuka nachakata mbususu mpya kila dei,

Sa akawa anajichatisha nilivyosoma saikolojy yake ni kwamba tuendelee tulipoishia nikamwambia we tafuta mtu mfanye maisha umri ushasogea na hana mtoi akashangaa eti ni mimi ninaezungumza maneno ayo😄!
 
Ushauri
Never ever accept a snake who bite u previously..to bite u twice..utakuja kulia sana..pia Ni kupotezea muda..miaka mi5 ...unasubiria tu...labda kama huna Malengo YA kuoa au kuolewa
 
Ni miaka 2 Sasa toka nikate mawasiliano na aliyekuwa mchumba wangu. Jmosi iliyopita amenitafuta baada ya hiyo miaka 2! Tulidumu kwenye mahusiano kama miaka 3 na miezi kadhaa kutokana na changamoto za maisha tulikuwa tunakaa Sehemu tofauti.

Baada ya yy kihamia mkoa mwingine mawasiliano yalianza kuwa ya shida.Alikuwa anakaa hata mwezi bila kuongea na mimi.

Hii hali ilikua inaniumiza na nilijaribu Kila namna kurekebisha ila baadae yalikata kabisa!

Nikawa najaribu kumtafuta Hadi kupitia marafiki zake wakawa wanasema watamfikishia taarifa ila hakuwahi kunitafuta! Ni mtu ambae tulikuwa tunaendana kwa vitu vingi na nilimpenda sana!

Wakati wote huo ambao alikuwa hapatikani nlikokuwa ni mtu mwenye mawazo, huzuni, hasira,kulia,kisirani na nikawa mtu wa tofauti kbs!Nikaona kuwa ndio mwisho wetu na tumeshaachana.

Ilininichukua muda sana kukubaliana na hali hali hallisi hadi Kuna wakati niliugua sana na kukonda.Hadi hii juzi ndio amenitafuta baada ya ukimya wa miaka 2! Nilimuuliza kwnn alipotea ghafla alinielezea stori ndefu ila ni kwamba alipata changamoto nyingi na baadae kuhama nchi. Alipata kazi nchi nyingine ( hapa Africa)na Hadi Sasa anafanya kazi huko na amekuja kwa ajili ya likizo' kisha atarudi huko.Ameniomba msamaha na anahitaji turudiane.

Nilimuuliza kuhusu mawasiliano yetu itakuaje akasema atayaboresha na atakuwa anakuja kuniona Kila likizo.

Akili inakuwa ngumu sana kumuamini japokuwa bado nampenda. Nikifikiria hali ngumu niliyopitia Hadi kuwa sawa naona ni ngumu kuamini tena.Katika hii miaka miwili ambayo hatukuwa pamoja,nimekuwa na mahusiano kadhaa ambayo mengine hata mwezi haufiki tunaachana.

Nikubali tuanze upya na kuamini tena? au ni mpasha kiporo nimuache aende zake tu? Nikimuamini af azingue tena mtanisindikiza Mirembe🤌😂) Wadau niamue nini?
Huyo atakuumiza tena. Usikubali kurudisha urafiki na mtu aliyekuumiza kwenye pesa, mapenzi na character. Nyoka hujivua gamba la juu ya mwili wake ili awe mkubwa na mkali zaidi. Piga chini na kaa nae mbali. kwanini ujishushe kwa mtu mpuuzi kama huyo?
 
Watu washaichakata wee mi kuna mmoja ivo ivo alijirudisha ila aliniacha mwenyewe nikapona hali nikamtoa kabisaaa , nikaja sikia stroy zake kuna kibabu kimemfungulia duka kinamla tu mwishowe duka likafa akawa anafanya kazi restaurant analiwa liwa ovyo, mi nishamtoa moyoni ata sikushtuka nachakata mbususu mpya kila dei,

Sa akawa anajichatisha nilivyosoma saikolojy yake ni kwamba tuendelee tulipoishia nikamwambia we tafuta mtu mfanye maisha umri ushasogea na hana mtoi akashangaa eti ni mimi ninaezungumza manenoeople le
 
Watu washaichakata wee mi kuna mmoja ivo ivo alijirudisha ila aliniacha mwenyewe nikapona hali nikamtoa kabisaaa , nikaja sikia stroy zake kuna kibabu kimemfungulia duka kinamla tu mwishowe duka likafa akawa anafanya kazi restaurant analiwa liwa ovyo, mi nishamtoa moyoni ata sikushtuka nachakata mbususu mpya kila dei,

Sa akawa anajichatisha nilivyosoma saikolojy yake ni kwamba tuendelee tulipoishia nikamwambia we tafuta mtu mfanye maisha umri ushasogea na hana mtoi akashangaa eti ni mimi ninaezungumza maneno ayo😄!
What goes around comes around! Big up🤝
 
Watu washaichakata wee mi kuna mmoja ivo ivo alijirudisha ila aliniacha mwenyewe nikapona hali nikamtoa kabisaaa , nikaja sikia stroy zake kuna kibabu kimemfungulia duka kinamla tu mwishowe duka likafa akawa anafanya kazi restaurant analiwa liwa ovyo, mi nishamtoa moyoni ata sikushtuka nachakata mbususu mpya kila dei,

Sa akawa anajichatisha nilivyosoma saikolojy yake ni kwamba tuendelee tulipoishia nikamwambia we tafuta mtu mfanye maisha umri ushasogea na hana mtoi akashangaa eti ni mimi ninaezungumza maneno ayo😄!
Asee! Ntafuata past paper kwako😅
 
Ni miaka 2 Sasa toka nikate mawasiliano na aliyekuwa mchumba wangu. Jmosi iliyopita amenitafuta baada ya hiyo miaka 2! Tulidumu kwenye mahusiano kama miaka 3 na miezi kadhaa kutokana na changamoto za maisha tulikuwa tunakaa Sehemu tofauti.

Baada ya yy kihamia mkoa mwingine mawasiliano yalianza kuwa ya shida.Alikuwa anakaa hata mwezi bila kuongea na mimi.

Hii hali ilikua inaniumiza na nilijaribu Kila namna kurekebisha ila baadae yalikata kabisa!

Nikawa najaribu kumtafuta Hadi kupitia marafiki zake wakawa wanasema watamfikishia taarifa ila hakuwahi kunitafuta! Ni mtu ambae tulikuwa tunaendana kwa vitu vingi na nilimpenda sana!

Wakati wote huo ambao alikuwa hapatikani nlikokuwa ni mtu mwenye mawazo, huzuni, hasira,kulia,kisirani na nikawa mtu wa tofauti kbs!Nikaona kuwa ndio mwisho wetu na tumeshaachana.

Ilininichukua muda sana kukubaliana na hali hali hallisi hadi Kuna wakati niliugua sana na kukonda.Hadi hii juzi ndio amenitafuta baada ya ukimya wa miaka 2! Nilimuuliza kwnn alipotea ghafla alinielezea stori ndefu ila ni kwamba alipata changamoto nyingi na baadae kuhama nchi. Alipata kazi nchi nyingine ( hapa Africa)na Hadi Sasa anafanya kazi huko na amekuja kwa ajili ya likizo' kisha atarudi huko.Ameniomba msamaha na anahitaji turudiane.

Nilimuuliza kuhusu mawasiliano yetu itakuaje akasema atayaboresha na atakuwa anakuja kuniona Kila likizo.

Akili inakuwa ngumu sana kumuamini japokuwa bado nampenda. Nikifikiria hali ngumu niliyopitia Hadi kuwa sawa naona ni ngumu kuamini tena.Katika hii miaka miwili ambayo hatukuwa pamoja,nimekuwa na mahusiano kadhaa ambayo mengine hata mwezi haufiki tunaachana.

Nikubali tuanze upya na kuamini tena? au ni mpasha kiporo nimuache aende zake tu? Nikimuamini af azingue tena mtanisindikiza Mirembe🤌😂) Wadau niamue nini?
Mwanaume anaelekea kuwa species hadimu sana,sasa hili nalo ni lakuomba ushauri.(Kama me).
 
Mfanye kama part time mpaka hapo utakapojiridhisha kwamba amekaa sawa na yuko tayari muwe wanandoa,acha kukabidhi moyo wako kizembezembe.
Yaani akilala unalala,akiamka unaamka yaani unakuwa sambamba naye usijiwekeze sana kwake
 
Back
Top Bottom