eldamaty_persier
Senior Member
- Mar 18, 2024
- 118
- 285
- Thread starter
- #21
We na andazi, bora andazi.....
We na andazi, bora andazi.....
Aiii! Sa kama mtu hakuwepo🤌😂Love can build a bridge between your hearts. Hisia zako ziko negative tu. Kama amekutamkia bado anakupenda na Wewe bado unampenda endeleeni tu. Japo ulishaanza kugawa tunda kwingine. 😂😂😂
Na kazi iendelee🤝Kumbuka changamoto yenu kubwa ni Distance. Kama bado itaendelea kuwepo then bado Hali hyo itaendelea kujirudia rudia mpaka utakapo shikwa na akili.
Cha msingi, kama bado una hisia nae pasha kiporo, endelea na shughuri za kujenga taifa
Mbona huwa unaenda Kanisani au Msikitini ukiamini Mungu yupo?Aiii! Sa km mtu hakuwepo🤌😂
😂😂 Km inakuja afu inakataa! Akizingua Tena uje nisindikiza MirembeMbona huwa unaenda Kanisani au Msikitini ukiamini Mungu yupo?
Hebu kuwa na imani basi na huyo Soulmate wako .
Upi?Uandishi gani huo??
Kuvuki landNchi gani huko hakuna Fb, whatsapp
Acha kuwa mjinga alikuwa hana rafiki wa kuwasiana naye.
Huyo ni malaya achana naye! Atakuletea gono na UTI sugu.
Moyo ushakwambia achana naye ila shetani anataka uingie mtegoni
Aisee hauna Imani kabisa 😅😂😂 Km inakuja afu inakataa! Akizingua Tena uje nisindikiza Mirembe
Nchi hatari sana hiyo 😂😂😂Kuvuki land
Kwanza kazaliwa 200...? JF ilishakua ya low mind si great thinkers tena.We na andazi, bora andazi.....
true love is sacrifice,
ni ama muandamane pamoja huko aliko, ama muambatane pamoja uliko 🐒
vinginevyo ni wastage of time and attractions of stress 🐒
Aseee! Tumekuwa mind Tena🤌Kwanza kazaliwa 200...? JF ilishakua ya low mind si great thinkers tena.