Tuelimishane kuhusu Kilimo cha Pilipili Manga, kuanzia mbegu bora, magonjwa, utaalamu mpaka masoko

umuiya ya Wakulima wa Kilimo Hai Usambara Mashariki (JUWAKIHUMA) ni chama kinachounganisha vijiji sita vilivyopo milimani Usambara Mashariki wilaya ya Handeni, mkoani Tanga.

Wakulima wa maeneo haya wanalima sana mazao ya viungo vya chakula hasa pilipili mtama, iliki na karafuu. Karafuu inayolimwa eneo hili ubora wake ni mkubwa kuliko karafuu inayolimwa Pemba na Unguja. Pia eneo hili yapo mashamba makubwa ya serikali ya miti ya mipira, iliyokuwa inatumika kama malighafi kwa kiwanda cha matairi cha General Tyre, Arusha.

Pilipili mtama ndilo zao la kwanza nchini lenye bei nzuri kwenye soko la ndani, bei yake kwa sasa ni kati ya shilingi 400,000/= hadi 600,000/= kwa gunia la kilo 100, sokoni Kariakoo.

Serikali ya Marekani kupitia shirika lake la misaada la USAID limewasaidia sana wakulima wa vijiji hivi sita, kuendeleza mazao yao, kiasi kwamba hali ya maisha ya wakulima imebadilika sana, na kila eneo utakalopita utakuta wakulima wanapanua mashamba na vitalu vya miche mbalimbali vikiwa mashambani, vikisubiri msimu wa kupanda.


P1020187.JPG



P1060002.JPG


Kama simu nizokupa hazipatikani inabidi ufunge safari hadi Handeni Tanga, kutoka handeni ni muda wa saa moja kufika milimani Usambara Mashariki, uliza ofisi zao zinaitwa JUWAKIHUMA.
 
Ndugu T999ZZZ,
Sisi ni wakulima, wanunuzi na wasafirishaji wa ndani na nje wa viungo vya chakula e.g vanilla, cardamon, cinnamon, cloves, ginger, etc By March, 2014 tutakuwa na Blackpepper (Pilipili Manga) walau Tani 8 kavu ambazo hazijashikwa na mnunuzi. Pia tunaweza kukusaidia kupata Tangawizi kavu na safi kutoka Kigoma. Iwapo uko serious tuandikie marukuvanilla at gmail.com na wasiliana nasi kwa simu 0684627030

Duh,kampuni kubwa sana ulivyoipamba.
Hembu tuambie hiyo email address ni ya dharura au ya ofisi?maana ipo kinyumbani nyumbani.
Na tangu mmeanza kuwa dealers hata website hamna?
Halafu tujuze ndugu yetu Ofisi yenu ipo wapi yakhe
Au ndio Big Result now
 
umuiya ya Wakulima wa Kilimo Hai Usambara Mashariki (JUWAKIHUMA) ni chama kinachounganisha vijiji sita vilivyopo milimani Usambara Mashariki wilaya ya Handeni, mkoani Tanga.

Wakulima wa maeneo haya wanalima sana mazao ya viungo vya chakula hasa pilipili mtama, iliki na karafuu. Karafuu inayolimwa eneo hili ubora wake ni mkubwa kuliko karafuu inayolimwa Pemba na Unguja. Pia eneo hili yapo mashamba makubwa ya serikali ya miti ya mipira, iliyokuwa inatumika kama malighafi kwa kiwanda cha matairi cha General Tyre, Arusha.

Pilipili mtama ndilo zao la kwanza nchini lenye bei nzuri kwenye soko la ndani, bei yake kwa sasa ni kati ya shilingi 400,000/= hadi 600,000/= kwa gunia la kilo 100, sokoni Kariakoo.

Serikali ya Marekani kupitia shirika lake la misaada la USAID limewasaidia sana wakulima wa vijiji hivi sita, kuendeleza mazao yao, kiasi kwamba hali ya maisha ya wakulima imebadilika sana, na kila eneo utakalopita utakuta wakulima wanapanua mashamba na vitalu vya miche mbalimbali vikiwa mashambani, vikisubiri msimu wa kupanda.


P1020187.JPG



P1060002.JPG


Kama simu nizokupa hazipatikani inabidi ufunge safari hadi Handeni Tanga, kutoka handeni ni muda wa saa moja kufika milimani Usambara Mashariki, uliza ofisi zao zinaitwa JUWAKIHUMA.

Hii ofisi mbona kama imetengenezwa ili kuombea misaada,duhh,kweli watu vichwa.
Yaani inaonekana kabisa kwamba kuna muheshimiwa au muhisani alikuja kutembelea,watu wakaji koki na kuipamba kama mkorgogo,maana ukuta mpya bati mkorogo,full kuvuja,sijui kama faili hazikai kwa mwenyekiti.
 
Kwa sasa hivi JUWAKIHUMA wamejenga ofisi nyingine nzuri na wanajenga kiwanda kidogo na maghala ya kuhifadhi mazao ya wakulima, picha ya ofisi hapo juu ilikuwa ni ya muda mwaka 2010.

Ni kweli walikuwa kwenye harakati za kupewa msaada, wameupata na wameutumia na maisha ya wanavijiji yamebadilika na kuimarika sana kimapato.
 
Kwa sasa hivi JUWAKIHUMA wamejenga ofisi nyingine nzuri na wanajenga kiwanda kidogo na maghala ya kuhifadhi mazao ya wakulima, picha ya ofisi hapo juu ilikuwa ni ya muda mwaka 2010.

Ni kweli walikuwa kwenye harakati za kupewa msaada, wameupata na wameutumia na maisha ya wanavijiji yamebadilika na kuimarika sana kimapato.
Nimewakubali kwa kupiga hatua,maana nilifikira ndio hapo hapo imetoka.
Mie nasubiria website yao ili nijue wanazalisha nini kwa kina,then niangalie kama naweza kuwa nachukua mzigo kwao
 
Kuna kipindi nawe ulikuwa unatafuta viungo mbalimbali je bado una uhitaji wa giligilani ? je unanunuweje?
 
Kuna jamaa ananisumbua hapa kuwa anahitaji kama tani 20 za Pilipili Manga nyeusi au Black Pepper.

Kuna mtu anaweza kunisaidia kujua wapi zinapatikana kwa wingi na bei ikoje kwa tani moja ntashukuru sana.

Tafadhali usiniandikie kuwa una nyeupe au sijui rangi gani. Zinahitajika nyeusi tu.

Wasiliana na mimi kwa simu +48503535735 au email: Ssambali@hotmail.com

Nakumbusha tena, mie si mnunuzi. Kuna jamaa kaniomba nimsaidie kutafuta hizi Pilipili manga.

Thanks in advance.

o.11870.jpg
 
Sipendi kesho mtu aniite Mtapeli na nijiharibie jina maana hapa nipo kwa jina langu haswa.

Ni lazima mtu ajuwe kuwa mie naunganisha tu na siyo muuzaji wala mnunuzi. W

Wakishakubaliana, mie nanawa mikono na simo tena kwenye makabidhiano ya fedha au bidhaa.

Unajua kilichompata Dikembe Mutombo, Mcheza NBA kutoka Congo miaka ya 90? Ni heri uweke mambo nje.
umetumia nguvu mno kujihami
 
Mkuu, sikuona ujumbe wako. Ila kama kweli una mzigo tafadhali nijulishe hata kwa ujumbe mfupi hapa bei yake kwa hizo tani 20 ambazo kama unavyoona, itakuwa ni fedha nyingi kidogo katika Dola. Pia wee andika tu bei ni hii na bidhaa kutoka sehemu fulani ili tujuwe hadi mzigo unaingia melini, zitakuwa zimetumika $Dola ngapi.
Call: 0784 887 599
 
Kwa sasa yupo Poland. Wewe weka bei yako maana wewe ndiyo unauza.

Inategemea mzigo uko wapi na vitu gani umeshalipiwa na vipi baadaye itabidi jamaa alipie.

Kwa mfano kama mtu anauza na tayari ana tani ishirini zipo Dar tayari kwa Export, sisi hatutasumbuka tena kwenda kuununua sijui Tanga au Morogoro.
OK kila tani atatoa sh ngapi!? Na yupo mkoa gani?
 
Alishawahi kuja na akakwama. Ndiyo maana nataka kujua walau anayeweza kuuza kama tani 10 na nyingine ndiyo tukaulizia mitaani. Hivyo kuja ni lazima ila inabidi walau kupata mwanga kujua wapi uanzie na lini maana unaweza kuja na msimu ndiyo umeshapita.
aje tanzania aweke kituo ataletewa na wadau hzo pilipili manga...
 
Mkuu, wewe unauza jumla? Unafanya Export? Anyway, kama utakuwa na bei nzuri ya FOB, twahitaji Tani 20.
Nimewakubali kwa kupiga hatua,maana nilifikira ndio hapo hapo imetoka.
Mie nasubiria website yao ili nijue wanazalisha nini kwa kina,then niangalie kama naweza kuwa nachukua mzigo kwao
 
Alishawahi kuja na akakwama. Ndiyo maana nataka kujua walau anayeweza kuuza kama tani 10 na nyingine ndiyo tukaulizia mitaani. Hivyo kuja ni lazima ila inabidi walau kupata mwanga kujua wapi uanzie na lini maana unaweza kuja na msimu ndiyo umeshapita.

Kwanini alikwama?? he just didnt see the right people. Aandae safari nyingine kama anakuja huku itakuwa cheaper yeye kuandaa mzigo na kuupakia kuliko kutumiwa tu na maybe anaweza akatumiwa mzigo wa quality asiyoitaka yeye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom