Tudumishe amani kwa kukubali matokeo

Tudumishe amani kwa kukubali matokeo

Ellyson

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2010
Posts
1,714
Reaction score
405
Kesho ni siku ya kumpata mshindi wa na kutangazwa kwa Rais wa awamu ya tano. Kwa matokeo yanayoendelea kutangazwa yameshatoa mwanga ni nani atashinda.

Ukweli ni kwamba John Pombe Magufuli ndiye mshindi na Rais mteule.

Nikiwa mwana Chadema napenda kushauri tukubali matokeo kama yatakavyo tangazwa. Hata tusipokubali matokeo CCM watalazimisha iwe isiwe. Hivyo naomba busara tu itumike tukubali na tumuunge mkono Rais mteule bila kutokea kwa vurugu.

Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais ajaye.

Amina!
 
Zanzibar yamefutwa matokeo vipi atangazwe rais????????

Au achaguliwe Rais waTanganyika tu??? na ZNZ je??

Mkanganyiko huu

Siasa au Democrasia huwa haisomeki kwakweli
 
We mpuuzi nn amani gani hii? mm nasubiri tamko kutoka kwa viongozi wangu wa ukawa nitekeleze.
 
Nimelipenda thread hii amani amani amani ndio mpango mzima, tofauti zisituchonganishe
 
kuna maisha baada ya uchaguzi tudumishe amani naipenda TANZANIA, MUNGU IBARIKI NCHI YETU TANZANIA
 
Kesho ni siku ya kumpata mshindi wa na kutangazwa kwa Rais wa awamu ya tano. Kwa matokeo yanayoendelea kutangazwa yameshatoa mwanga ni nani atashinda.

Ukweli ni kwamba John Pombe Magufuli ndiye mshindi na Rais mteule.

Nikiwa mwana Chadema napenda kushauri tukubali matokeo kama yatakavyo tangazwa. Hata tusipokubali matokeo CCM watalazimisha iwe isiwe. Hivyo naomba busara tu itumike tukubali na tumuunge mkono Rais mteule bila kutokea kwa vurugu.

Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais ajaye.

Amina!

Kweli James Watson alimaliza kila kitu, sisi waafrika ni zuzu wa mazuzu.
https://www.newscientist.com/blog/s.../james-watson-master-of-scientific-gaffe.html
 
Kesho ni siku ya kumpata mshindi wa na kutangazwa kwa Rais wa awamu ya tano. Kwa matokeo yanayoendelea kutangazwa yameshatoa mwanga ni nani atashinda.

Ukweli ni kwamba John Pombe Magufuli ndiye mshindi na Rais mteule.

Nikiwa mwana Chadema napenda kushauri tukubali matokeo kama yatakavyo tangazwa. Hata tusipokubali matokeo CCM watalazimisha iwe isiwe. Hivyo naomba busara tu itumike tukubali na tumuunge mkono Rais mteule bila kutokea kwa vurugu.

Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais ajaye.

Amina!

Ukimkuta mkeo anagalagazwa kitandani kwako utatunza amani siyo?
 
1390616702918272.jpg
 
Ahsante sana, Amani ndio kila kitu.

Na itadumu tu, hakuna atakaeweza au kuthubutu kukiuka miiko na kusababisha ghasia
 
Tanzania hatuna budi kuingia kwenye kitabu cha record za dunia,hasa majaji waliopewa nafasi kwenye tume mbalimbali kama NEC/ZEC
 
Back
Top Bottom