Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Mkuu umeajiriwa au umejiajiri? Vipi umechelewa mara ngapi kufika kituo chako cha kazi? Makonda angekusweka ndani mara ngapi?Hao ndo wanapenda mfumo wa kuabudiana uendelee. Yaani unakuwa na watumishi wazembe kama wale halafu unataka walelewe....Watanzania bwana hawajui wanataka nini.