TUCTA na watumishi wa umma wa taifa hili onyesheni kuwa mnajitambua hata kidogo basi

Joshua justine

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
792
1,007
Hivi watumishi wa umma wa taifa hili mnajitambua kweli, nyinyi na vyama vyenu vya wafanyakazi?
Nyinyi ndio mnaokuwa wa kwanza kudai mboreshewe maslahi na Serikali kila mwaka, mnadhani hizo pesa za kuwaongezea zinatoka wapi kama sio kwenye hizi kodi za wavuja jasho wa Tz zinazoibiwa na kutafunwa na hawa mafisadi wanaosemwa bungeni?

Wakati wa kugombea uhuru wa taifa hili, wafanyakazi walikuwa wanajitambua na waliwapa nguvu sana wapambanaji wa wakati ule. Kwa nn leo mapambano ya kuondoa ufisadi na kujikomboa kiuchumi kama taifa watumishi wa umma mpo mpo tu kama mabogaz?

Amkeni basi, mfanye hata maandamano mafupi tu , hata ya km 2 tu mwape nguvu vijana wetu bungeni, mnatia aibu asee,!

Wakati wa azimio la Arusha watu waliandamana km nyingi kutoka mikoa ya mbali mpaka butiama kumuunga mkono hayati JK Nyerere , acheni uzembe , huko ni kuonyesha hamjui hata mnafanya nn, na mzunguko wa maslahi yenu upoje katika uchumi wa hili taifa.


FIKIRIA TU :
Ingekuwa mm ama wewe ni mmoja wa hao mafisadi kisha ukasoma uzi huu je ungeujibu vipi ?
Ni wazi ungesema ama ungemtuma mtu aseme , " kwanza wabunge wenyewe waliiba kura hao ",
Dont trust every body in this world,
 
Hivi watumishi wa umma wa taifa hili mnajitambua kweli , nyinyi na vyama vyenu vya wafanyakazi ?
Nyinyi ndio mnaokuwa wa kwanza kudai mboreshewe maslahi na serikali kila mwaka, mnadhani hizo pesa za kuwaongezea zinatoka wapi kama sio kwenye hizi kodi za wavuja jasho wa Tz zinazoibiwa na kutafunwa na hawa mafisadi wanaosemwa bungeni ?
Wakati wa kugombea uhuru wa taifa hili , wafanyakazi walikuwa wanajitambua na waliwapa nguvu sana wapambanaji wa wakati ule. Kwa nn leo mapambano ya kuondoa ufisadi na kujikomboa kiuchumi kama taifa watumishi wa umma mpo mpo tu kama mabogaz ?
Amkeni basi, mfanye hata maandamano mafupi tu , hata ya km 2 tu mwape nguvu vijana wetu bungeni, mnatia aibu asee,!
Wakati wa azimio la Arusha watu waliandamana km nyingi kutoka mikoa ya mbali mpaka butiama kumuunga mkono hayati JK Nyerere , acheni uzembe , huko ni kuonyesha hamjui hata mnafanya nn, na mzunguko wa maslahi yenu upoje katika uchumi wa hili taifa.
Kwahiyo what next?
 
Ulichokisema ni sahihi kabisa. Nchi hii imekuwa shamba la Bibi kutokana na kila Mtanzania kwa nafasi yake kk kutowajibika ipasavyo. Viongozi wetu wengi wamejaa ubinafsi na uozo wa kila aina kama vile ufisadi, wizi na kujilimbikizia mali.

Kila anayepata nafasi ya uongozi cha kwanza anachowaza ni kutafuta mianya ya kuiba. Kwa sababu yupo kwenye mfumo, hata ikibainika ameiba, hawezi kuchukuliwa hatua yoyote ile.

Ndicho kinachotutesa mpaka sasa. MAKAPI yote aliyoyatupilia mbali JPM, hayo ndiyo yaliyopewa nafasi/vitengo katika Serikali hii.

Majitu ya namna hiyo hata yafanye makosa makubwa namna gani, na wananchi wakapiga kelele namna gani, kwa hakika hakuna mtu wa kuyawajibisha.

Tungekuwa tunajitambua, haya yote yasingekuwepo. Kwani tungepiga kelele kuu kwa umoja wetu wote kama Watanzania, bila shaka tungefaulu.
Naamini ipo siku ukombozi kamili wa Nchi hii utapatikana na upo mbioni.
 
Ulichokisema ni sahihi kabisa. Nchi hii imekuwa shamba la Bibi kutokana na kila Mtanzania kwa nafasi yake kk kutowajibika ipasavyo. Viongozi wetu wengi wamejaa ubinafsi na uozo wa kila aina kama vile ufisadi, wizi na kujilimbikizia mali.

Kila anayepata nafasi ya uongozi cha kwanza anachowaza ni kutafuta mianya ya kuiba. Kwa sababu yupo kwenye mfumo, hata ikibainika ameiba, hawezi kuchukuliwa hatua yoyote ile.

Ndicho kinachotutesa mpaka sasa. MAKAPI yote aliyoyatupilia mbali JPM, hayo ndiyo yaliyopewa nafasi/vitengo katika Serikali hii.

Majitu ya namna hiyo hata yafanye makosa makubwa namna gani, na wananchi wakapiga kelele namna gani, kwa hakika hakuna mtu wa kuyawajibisha.

Tungekuwa tunajitambua, haya yote yasingekuwepo. Kwani tungepiga kelele kuu kwa umoja wetu wote kama Watanzania, bila shaka tungefaulu.
Naamini ipo siku ukombozi kamili wa Nchi hii utapatikana na upo mbioni.
Mkuu naona bunge hili wamepewa nafasi hiyo ya kuturejeshea wananchi mamlaka yetu, masna kama unavyosema viongozi wengi ni matapeli kabisa, anapokushawishi umchague ni kama analitakia mema taifa lakini ukimpa upanga wa kutawala anaanza kukukata wewe raia uliempa kwa kufanya ufisadi wa kutisha na kujipa ubwana wa ajabu juu yetu.
Wamekuwa wakitutapeli kisiasa, ni sasa ndio nafasi ya pekee, tusifanye makosa maana hao wanaoiba humo kwenye mashirika wanashirikiana na hao ili kesho wale wapate pesa za kuhonga kwenye uchaguzi mkuu na kuendelea kutawala nchi hii milele,
 
Hivi watumishi wa umma wa taifa hili mnajitambua kweli , nyinyi na vyama vyenu vya wafanyakazi ?
Nyinyi ndio mnaokuwa wa kwanza kudai mboreshewe maslahi na serikali kila mwaka, mnadhani hizo pesa za kuwaongezea zinatoka wapi kama sio kwenye hizi kodi za wavuja jasho wa Tz zinazoibiwa na kutafunwa na hawa mafisadi wanaosemwa bungeni ?
Wakati wa kugombea uhuru wa taifa hili , wafanyakazi walikuwa wanajitambua na waliwapa nguvu sana wapambanaji wa wakati ule. Kwa nn leo mapambano ya kuondoa ufisadi na kujikomboa kiuchumi kama taifa watumishi wa umma mpo mpo tu kama mabogaz ?
Amkeni basi, mfanye hata maandamano mafupi tu , hata ya km 2 tu mwape nguvu vijana wetu bungeni, mnatia aibu asee,!
Wakati wa azimio la Arusha watu waliandamana km nyingi kutoka mikoa ya mbali mpaka butiama kumuunga mkono hayati JK Nyerere , acheni uzembe , huko ni kuonyesha hamjui hata mnafanya nn, na mzunguko wa maslahi yenu upoje katika uchumi wa hili taifa.
Hao wafanyakazi na hiyo TUCTA kwanza wanakushangaa sana sasa hivi. Wao wanachojua ni kwamba hela ni za MAMA na anazitafuta nje ya nchi na sio kodi za wavuja jasho. Bado tuna safari ndefu sana mkuu.
 
Acha ujinga wewe!!

Watumishi wa umma sio wajinga hivyo!!

Vijana wapi hao unaowasemea !?hao waliopita bila kupingwa!?

Hao AMBAO hawakatwi kodi kwenye mishahara yao!?

Hao wanaojitekenya na kucheka wenyewe!?

Hao wanaosifia kila kitu wala hawana reasoning!!!?

Hao wanaoiogopa Katiba mpya na hawataki hata kuizungumzia wakiogopa hatma yao!!?

Hapo hakuna wabunge hapo kuna walaji tu wa kodi Bure za watz!

Bora sisi watumishi wa umma tupo ground tunawatumikia wananchi na matokeo yanaonekana kila MWAKA kuliko hao wagonjwa wa akili!!

Tunajua maslahi yetu yanatokana na SERIKALI kuamua yawe duni KWA malengo Yao!

Siku wakiamua watajua la kufanya,sisi sio wajinga tuingie barabarani Ili kuunga mkono wabunge haramu!!

Mtuache tunasubiri Tanzania mpya ya katiba Mpya ndio itabeba maslahi yetu na sio wabunge wanyonya damu!!
 
Wiki mbili hizi nimewaza sana NSSF kutangaza kuuza mradi wa Dege kirahisi tu na wafanyakazi na vyama vyao ni kama vimekaa pembeni helpless kana kwamba hili jambo si lao. Hawaoni sababu ya hata kuonyesha nia ya kushirikishwa kwenye mchakato kuhakikisha sio dili lingine linachongwa?
 
Hao wafanyakazi na hiyo TUCTA kwanza wanakushangaa sana sasa hivi. Wao wanachojua ni kwamba hela ni za MAMA na anazitafuta nje ya nchi na sio kodi za wavuja jasho. Bado tuna safari ndefu sana mkuu.
Tehetehehrheeheee
 
Wiki mbili hizi nimewaza sana NSSF kutangaza kuuza mradi wa Dege kirahisi tu na wafanyakazi na vyama vyao ni kama vimekaa pembeni helpless kana kwamba hili jambo si lao. Hawaoni sababu ya hata kuonyesha nia ya kushirikishwa kwenye mchakato kuhakikisha sio dili lingine linachongwa?
Nakwambia tuna safari ndefu nchi hii...!
 
Hivi watumishi wa umma wa taifa hili mnajitambua kweli , nyinyi na vyama vyenu vya wafanyakazi ?
Nyinyi ndio mnaokuwa wa kwanza kudai mboreshewe maslahi na serikali kila mwaka, mnadhani hizo pesa za kuwaongezea zinatoka wapi kama sio kwenye hizi kodi za wavuja jasho wa Tz zinazoibiwa na kutafunwa na hawa mafisadi wanaosemwa bungeni ?
Wakati wa kugombea uhuru wa taifa hili , wafanyakazi walikuwa wanajitambua na waliwapa nguvu sana wapambanaji wa wakati ule. Kwa nn leo mapambano ya kuondoa ufisadi na kujikomboa kiuchumi kama taifa watumishi wa umma mpo mpo tu kama mabogaz ?
Amkeni basi, mfanye hata maandamano mafupi tu , hata ya km 2 tu mwape nguvu vijana wetu bungeni, mnatia aibu asee,!
Wakati wa azimio la Arusha watu waliandamana km nyingi kutoka mikoa ya mbali mpaka butiama kumuunga mkono hayati JK Nyerere , acheni uzembe , huko ni kuonyesha hamjui hata mnafanya nn, na mzunguko wa maslahi yenu upoje katika uchumi wa hili taifa.
Tatizo lako kinachokusumbua ni UPUMBAVU.
 
Kafirwe ukalalwe
We mbwa koko usiye na elimu haya hayakuhusu,
Kwa uropokaji wako huo unaonekana kabisa we ni lipumbavu tu lisilikuwa na elimu,
Wacha kuongea mambo yasiyokuhusu, sio kila uzi humu ni wa kwako mbwa wewe !
 
We mbwa koko usiye na elimu haya hayakuhusu,
Kwa uropokaji wako huo unaonekana kabisa we ni lipumbavu tu lisilikuwa na elimu,
Wacha kuongea mambo yasiyokuhusu, sio kila uzi humu ni wa kwako mbwa wewe !
Umefirwa mpaka unavuja. Kafirwe huko.
 
Back
Top Bottom