TUCTA kuitisha mgomo nchi nzima

TUCTA kuitisha mgomo nchi nzima

TUCTA haina ubavu wa kufanya mgomo. Wanashindwa na madreva ambao siyo wengi kama watumishi wa Umma!
 
Huyu Mukoba ni mpuuzi sn kiukweli....amekuwa mtu wa kudandiadandia mambo pasipo jua anachotakiwa kusimamia ni nini. Mgomo wa waalimu umeishia wapi?? Mahakama ilitoa agizo serikali na Chama cha walimu wakae meza moja kutafuta suluhu, ila hadi leo toka 2012 kuna kiza kinene. Leo anaonekana yuko TUCTA anachokonoa mengine...huyu ni kibaraka wa CCM na serikal ya kifisadi. Aisee najuta kuwa kuwa mtanzania kwani kila kukicha ni mateso tu nchi hii. UKAWA unganisheni nguvu hasa mumuondoe shetani CCM anatumaliza jamani.
 
Huyu Mukoba ni mpuuzi sn kiukweli....amekuwa mtu wa kudandiadandia mambo pasipo jua anachotakiwa kusimamia ni nini. Mgomo wa waalimu umeishia wapi?? Mahakama ilitoa agizo serikali na Chama cha walimu wakae meza moja kutafuta suluhu, ila hadi leo toka 2012 kuna kiza kinene. Leo anaonekana yuko TUCTA anachokonoa mengine...huyu ni kibaraka wa CCM na serikal ya kifisadi. Aisee najuta kuwa kuwa mtanzania kwani kila kukicha ni mateso tu nchi hii. UKAWA unganisheni nguvu hasa mumuondoe shetani CCM anatumaliza jamani.

Mshenzi sana. Kuna siku nilimwona amevaa Shati na kofia za Ccm.
 
Maendeleo ya inji hii yanadumazwa na wasaliti na walarushwa. Huyo mkoba, ZZK, ....ni miongoni mwao. Natamani ningekuwa Kenye au S.A
 
Msijifananishe na madereva ile ni namba nyingine, wao wanaweza wakavuta bangi siku ikapita nyie je? mmezoea kutia tai na kuwaibia wananchi kiulaini eti mmesoma mukigoma mtakufa njaa
 
TUCTA ya leo imebakia kuwa 'Simba wa Mabua' na ilishaishia zamani baada ya yule kiongozi wake ngangari 'Nicholas Mgaya' kulainishwa na kuwekwa kwenye himaya ya watalawa.

Hivi si mnakumbuka ule mtafaruku wa serikali na TUCTA wakati huo Mgaya alikuwa Mgaya kweli. Kwani joto lake lilikuwa si la kawaida mpaka JK akawatishia wafanyakazi na akaja na ule msemo kutishia wagomaji/waandamaji nchini nzima kuwa..."Akili ya Mgaya changanya na ya kwako🙂". Na baada ya pale Mgaya akadhibitiwa na ikawa ndio mwisho wa ungangari wake.

TUCTA ya leo kazi yake ni kutishia 'NYAU" tu...lakini tarehe ya maandano ikifika wanachomoa kwa staili ya kusema ati 'Wanawaongozea muda serikali ijitafakari". Viongozi wake wamegeuka kuwa wasanii (Ze Comedy flani hivi) wakubwa!
 
Back
Top Bottom