TUCTA kuitisha mgomo nchi nzima

Tukta hamna huo ujanja.mkiona uchaguzi umekaribia wa vyama vyenu mnaanza uongo.
 
Hawa ni wa hovyo kabisa...kati ya trade union zinazopaswa kuwa imara ni kama hii...lakini hakuna kitu

By the way vongozi wake wote ni watu wa system
 
Hivi MGAYA ndo nilie muona juzi kavaa shati la CCM na yuko na wanaCCM au majicho yangu yaliona vibaya
 
Hatuna chama cha wafanyakazi hapa ni wahuni hawa. hawana uwezo wa kugoma
 
TUCTA hawana ubavu huo hata kidogo, kwanza wangeanza kupinga yale maagizo ya kijinga yanayotolewa na wakurugenzi wa halmashauri kama vile;kusaini daftari la mahuzurio kwa lazima kwenda kuwapokea viongozi wa ccm ambao si waserikali,kukatwa fedha kwa ajili ya mafuta ya mwenge nk! Hawana ishu hao kwani wao pia ni familia ya ccm!
 
TUCTA ipi??? hii ambayo waliambiwa akili za kuambiwa changanya na zako,wakaufyata.?? kama ni hao....HAKUNA JIPYA HAPO....MANENO MATUPU
 
Hivi MGAYA ndo nilie muona juzi kavaa shati la CCM na yuko na wanaCCM au majicho yangu yaliona vibaya

Ni kweli hata mimi niliona kama namfananisha!.Mwe Mwe Mwe mtu mweusi haridhiliki.
 
Tataizo hivi vyama vya wafanyakazi ni kukosa uongozi imara na wanaongwa kirahisi sana na wanawaangusha wafanyakazi has a MTU kama mkoba huyu jamaa huwa anatafuta deal ili apewe chake tu
 




Mbali na udhaifu wa TUCTA, hizi sheria wengine mnazionaje? Huu ni wizi!
Unakatwa 18% kwenye hela yako yote au ni kwenye ile tu iliyoongezwa na mfuko?

Kuna haja ya kuandaa takwimu itakayoonesha rekodi ya uchangiaji kodi serikalini ili kufanya ulinganifu wa uchangiaji kwa kila sekta.
Ionekane mfanyabiashara kachangia shilingi ngapi katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Mwalimu, mbunge, polisi, majaji, n.k, n.k.
 

Mimi nilivyoelewa ni kuwa kanuni hiyo itaanza kutumika kwa watumishi walioajiriwa kuanzia mwezi julai 2014 au pengine nilielewa vibaya ?? Eeeeh
 
Kiukweli hawa wasiseme lolote wapuuzi tu. Migomo wanajua madereva na wafanyabiashara
 
Hivi MGAYA ndo nilie muona juzi kavaa shati la CCM na yuko na wanaCCM au majicho yangu yaliona vibaya

Ndiyo yeye mkuu haukukosea , Mimi mwenyewe ilibidi nisogelee Luninga kwa karibu , na nikaangalia channel 3 tofauti nikathibitisha , yaani baada ya kuangalia ile taarifa eti anatetea katiba ya joka lenye makengeza niliuzunika sana yaani sikupata usingizi siku ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…