Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,887
- 3,350
MASHARTI ……...!!
1. Hakuna matusi!
2. Unaandika sentens kwa kuanza na neno la mwisho la mchangiaji aliyepita...mfano "Mama anapika" kama ww ndiye unafuata unaanza na neno "anapika".....Anapika chakula cha wafungwa......!! mwingine ataanza na neno "wafungwa".......wafungwa wengi wana ukimwi........!! atakayekuwa wa mwisho na kudumu kwa wiki tatu ndiye mshindi......!!
.....NICE GAME....!
1. Hakuna matusi!
2. Unaandika sentens kwa kuanza na neno la mwisho la mchangiaji aliyepita...mfano "Mama anapika" kama ww ndiye unafuata unaanza na neno "anapika".....Anapika chakula cha wafungwa......!! mwingine ataanza na neno "wafungwa".......wafungwa wengi wana ukimwi........!! atakayekuwa wa mwisho na kudumu kwa wiki tatu ndiye mshindi......!!
.....NICE GAME....!