Mimi sio dogo!
Kesho tu natangaza nia kama mgombea binafsi.
Manake inaonesha watia nia wote wanatoka kwenye vyama vya siasa!
Mungu aliumba strong ribs kama isurance kwa wanaocheka sana!
ni jambo la busara kama unataka kutangaza nia kiongozi...nachelea tu CCM wakimpitisha Tyson atakupa vitasa vya maana mpaka ukae...kaa nae mbali ndugu!!!
ni jambo la busara kama unataka kutangaza nia kiongozi...nachelea tu CCM wakimpitisha Tyson atakupa vitasa vya maana mpaka ukae...kaa nae mbali ndugu!!!