Tuangalie Biashara ya Content/Maudhui ya Mtandao

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Kila siku inavyozidi ndio Mtandao unazidi kuwa mkubwa zaidi , ndio tovuti zinazidi kuongezeka na maudhui kwenye mtandao yanazidi kuongezeka na programu za kuendesha maudhui na masuala mengine kwenye mtandao zinazidi kuongezeka na kuwa bora zaidi .


Watu wengi duniani wanazidi kuongeza vitu kwa njia ya mtandao kwa ajili ya biashara , kusomwa na kufurahia – hivi vitu vinavyoingizwa kwenye mtandao na kuuboresha zaidi kwa ajili ya kusoma yaani content /maudhui vinaweza kuwa biashara kubwa na nzuri kwa baadhi ya watu duniani .


Kuna watu wengi sana duniani kote wanaanzisha tovuti , blogu na shuguli kadhaa kwa njia ya mtandao lakini wanakosa content/maudhui ya kuweka kwenye mitandao yao ili iweze kusomeka au kutembelewa na watu wanavyotafuta kitu Fulani kwa njia ya mtandao .


Matokeo ya kukosa maudhui ni kushuka viwango vya watembeleaji wa tovuti husika au kupoteza mwelekeo wa taarifa Fulani inayofuatiliwa kwenye mtandao lakini vile vile kukosesha mapato kwa baadhi ya kampuni na watu binafsi waliotengeneza kurasa hivi kwa nia ya kujitengenezea kipato kwa njia ya matangazo .


Content au maudhui kwenye tovuti nyingi za kitanzania imekuwa mbaya na isiyoleta tija kwa watazamani wengi matokeo yake ni kwa wengi kwenda tovuti au blogu za picha pekee na inahusiana na utamaduni wa watanzania wengi wa kusoma hata kitu kidogo

.
Hii ni fursa Adimu sana ambayo wenye blogu , tovuti na wale wanaotaka kuanzisha blogu zao wanaweza kuitumia kujitengenezea kipato na kuajiri watu wengi kwa ajili ya kuwaandalia maudhui ya tovuti au blogu zao ziweze kupata wasomaji wengi kwa kipindi kifupi na iwe hivyo endelevu .


CHANGAMOTO ZILIZOPO
Kwa nchi ya Tanzania hatuna chombo maalumu kinachosimamia maudhui kwenye mitandao ya kitanzania matokeo yake ni watu kuibiana kazi na wale wenye kazi zao zilizopo kwenye mtandao kukosa haki nazo , kuna nchi kadhaa zinazodhibiti maudhui kama uchina ,iran na jimbo la Kaduna nchini Nigeria .


Kuna tatizo la lugha kwenye mitandao mingi hili linaonekana halishtui watu hata pale unapokutana na mtandao unaoweza kuuamini sana napo watu wengi wanaweza kuwa hawaandiki lugha sanifu .


Watanzania haswa wadau wa sekta ya teknohama na serikali yao wanatakiwa watambue kazi ya kujenga maudhui kwenye mtandao ni yao tena kwa lugha ya Kiswahili , hii sio kazi ya google au yahoo ni yao bila wao hawataweza kuendelea vizuri kwenye sekta hii .


Maudhui imara na bora ni yale yaliyoandaliwa kwa lugha za kinyumbani kama Kiswahili , kichina na haya ndio ambayo yanaweza kuchujwa na kutengenezwa vizuri kwa ajili ya kizazi kijacho .
 
Kila siku inavyozidi ndio Mtandao unazidi kuwa mkubwa zaidi , ndio tovuti zinazidi kuongezeka na maudhui kwenye mtandao yanazidi kuongezeka na programu za kuendesha maudhui na masuala mengine kwenye mtandao zinazidi kuongezeka na kuwa bora zaidi .

Shy mada zako huwa nzuri lakini zina tatizo moja katika "content" zake. Kama mtaalamu wa IT toa mifano hai. Yaani haya uliyoeleza ni mada unayo weza kuipeleka kenya ,uganda tanzania USA bado ikafit tu. So jaribu kuweka detail kuonyesha kweli umendika kitu kinalenga jamii fulani na sio too general.

Mfano kuhusu content ungetolea mfano Tovuti ya TBC. Haina file za audio wala video japo za taarifa za habari za siku. TOVUTI ya TBC haina tofauti na tovuti ya mwananchi. Lakini kiukweli TBC inatakiwa kuwa ni ni zaidi ya tovuti ya gazeti . Tunatakiwa kuwe na upadate clip tusikie na tuone vitu japo vichache . Binafsi huwa naona kichekesho nikienda http://www.tbc.go.tz/ kuangalia kwenye youtube video ya mwisho

Elezea kwa mifano halisi kile unachosema kwa kutoa link tatizo fulani ulilioona tovuti XYZ wangefanya hivi may be kama ilivyo tovuti ABC .... Paragraph yangu ya juu nimeonyesha hilo.

BTN.

Ulichosema ni kweli kabisa.
 
BUSIMINET COMPANY LIMITED
Po.box 12659
Kinondoni-Dar es salaam

Tanzania
Mob: 07 65 90 10 93 / 06 58 12 31 58
E-mail: busiminet@gmail.com
Website: busiminet.blogspot.com
OUR SERVICES: Tax, Business, IT, Accounting &Bookkeeping and Other services
TAX
1.Assist in preparation and submission of Returns to TRA
2.
Assist in estimation and determination of tax liabilities.
3.Online Returns submission and Payment Registration with TRA.
4.
Assist in Tax Payment processing.
5.Reminding about due dates for Tax payment and Other Tax/Statutory compliance.
6.
Tax health-checks
7.
Processing transfer or change of ownership with TRA
8.
Assist in filing and submission of TRA forms.
9.
Assist in Applications for Requesting Tax exemption.
10.
Tax consultation and advisory.
BUSINESS

1.
Assist in business licenses registration with municipals, ministries and other Government bodies.
2. Assist in business name, NGO's, Succoss and Company registration with BRELA.
3.
Preparation of Business Proposal, Constitution, Memorandum, Article of Association and Company Profile

4.Preparation of business plans
5.
Business Restructuring
6.Loan processing
7
.
Business consultations
8.
Preparation of Research proposals

IT AND RELATED SERVICES
GRAPHIC DESIGN
1.
Logo,Bill boards, Posters.
2.
Business cards, Identity cards (ID).
3.
Brochures Flyers, Invitation cards.
4.
Calendar,Product label Magazines
5.
Photo Editing and Retouching Special Envelope, Movie covers
6.
Website, Blogs and Systemdesign and development
7.
Computer maintenance
8.
Computer software installation
9.
Network designing and installation
10.CCTV installation
11.
AC installation and maintenance

ACCOUNTING AND BOOK-KEEPING SERVICES
1.Stock counting
2.
Preparation of bank reconciliations
3.
Preparation of annual financial statements complying with International Financial Reporting Standards.

4.Posting of financial transactions from source documents , (IFRS).
5.
Preparation of budgets and management reports.
6.
Payroll services (preparation of the payroll including pay slips)
7.
How to keep books of account

OTHER SERVICES
1.
Mining
2.
Marketing and advertisement
3.
Education
4.
Agricultural activities
5.
Gas activities
6.
Cargo clearing
7.
Legal consultancy
8.
Staff recruitment & Out-Sourcing
9.
Project management and analysis
10. Training and workshops to Enterpreneurs, scholars and other groups that need to excel in their business

Business in the smooth environment ensures growth


okoa muda,okoa pesa na kuza biashara yako kwakuhudumiwa na Busiminet co.ltd

 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom