Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈUkienda nae guest tafuta guest yenye mtaro ndani
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈUkienda nae guest tafuta guest yenye mtaro ndani
Mimi nikisafiri nje huwa siangalii makalio ya mwanaume au mwanamke Sina Cha kumjibu kwa Hilo yeye kajitia alisafiri kwenda Kigali kikazi ndio maana nikamjibu kikazi zaidi.Kuwa mwajiri wake kupoteza pesa bureUngeanza na alichokuuliza mkuu hizo fulsa utatafta mwenyewe.
Hili hata mimi niliwahi kusikia ingawa sina uhakika na pia labda hii inachangiwa na tabia ambazo mmoja wa wachangiaji amesema kuwa ni wavivu.....Ni wachafu .
Mimi nikisafiri nje huwa siangalii makalio ya mwanaume au mwanamke Sina Cha kumjibu kwa Hilo yeye kajitia alisafiri kwenda Kigali kikazi ndio maana nikamjibu kikazi zaidi.Kuwa mwajiri wake kupoteza pesa bure
Kwa miaka mingi nilitokea kuwapenda sana wanawake wa Kinyarwanda kwa muonekano wao na naona vilevile wanaweza kuwa na kaheshima fulani ambayo wanaume wengi tunapenda tuzipate kutoka kwa wake zetu. Kwa kweli nikipata anayefaa, kipaumbele changu ni dada wa kinyarwanda.
Mwenye uzoefu na watu hawa anaweza kunipa ushauri gani katika hili? Pia jamii zao zinawachukuliaje watz? Nilifika Kigali pako poa sana, jamaa wanatuacha hivi hivi mbele ya macho yetu yaani. Lakini kwa kuwa nilienda kikazi sikupata muda wa kujichanganya sana. Kwa hiyo hata kwa mtazamo tu wa kimaisha, nadhani siyo wazo baya kuoa kule.
Nakaribisha ushauri. Mapovu ruksa.
Mleta mada mjinga mkubwa wewe kwa hiyo ulichorudi nacho ni picha za jiji la Kigali na za Wanawake wa kinyarwanda.Mwajiri wako kapoteza pesa kulipeleka jinga Kigali.Kila siku tunapiga kelele humu kuwa mtanzania akisafiri nje aangalie kuna fursa gani za kibiashara au kiuchumi kule ambazo yeye aweza fanya au kushauri wengine wafanye wewe unatuletea habari za mitaa na Wanawake mjinga wewe.
Too much H2OMkuu umeongea kikubwa sana ebu lainisha kidogo
Mleta mada mjinga mkubwa wewe kwa hiyo ulichorudi nacho ni picha za jiji la Kigali na za Wanawake wa kinyarwanda.Mwajiri wako kapoteza pesa kulipeleka jinga Kigali.Kila siku tunapiga kelele humu kuwa mtanzania akisafiri nje aangalie kuna fursa gani za kibiashara au kiuchumi kule ambazo yeye aweza fanya au kushauri wengine wafanye wewe unatuletea habari za mitaa na Wanawake mjinga wewe.
"Fulsa" ??????!!!!!!Ungeanza na alichokuuliza mkuu hizo fulsa utatafta mwenyewe.
mamneno kuntuWana akili nyingi, wengi ni wakimya kwa sura, hutokuwa pekeyako yaan kuna binam zake utakuwa unachangia nao, utatangulia kufa wewe hilo ndo la umuhimu zaid, jiandae kujipikia msosi.
wanaweza kukuuza kwa vipande 30 vya fedhaKwa miaka mingi nilitokea kuwapenda sana wanawake wa Kinyarwanda kwa muonekano wao na naona vilevile wanaweza kuwa na kaheshima fulani ambayo wanaume wengi tunapenda tuzipate kutoka kwa wake zetu. Kwa kweli nikipata anayefaa, kipaumbele changu ni dada wa kinyarwanda.
Mwenye uzoefu na watu hawa anaweza kunipa ushauri gani katika hili? Pia jamii zao zinawachukuliaje watz? Nilifika Kigali pako poa sana, jamaa wanatuacha hivi hivi mbele ya macho yetu yaani. Lakini kwa kuwa nilienda kikazi sikupata muda wa kujichanganya sana. Kwa hiyo hata kwa mtazamo tu wa kimaisha, nadhani siyo wazo baya kuoa kule.
Nakaribisha ushauri. Mapovu ruksa.
Wanyarwanda wanatabi kuu mbili.ukiimudu moja moja itakumaliza tu.
(1)-ili akae na wewe na aone kua wewe ni mwanaume wa shoka lazma umlizishe ktk mapenzi yaa afike kilele kisawasawa(majipeupeyamwagige)kipindi unafanya yako.tofauti na hivyo baba jianda kushea na wezako.
(2)-yupo tayari kuvumili shida zako,lakin ukifanikiwa subiri kuumia.(@)kukutanguliza haoni shida ili awe mmiriki wa mali zako.kuhama hafla pindi wewe upo kazini na ucmuone mpaka kifo chako.