Tuko JF-Expert Member Jul 29, 2010 11,178 7,319 May 11, 2012 #1 Hili ndo jukwaa la mahusiano na nadhani ni sahihi tukiagana hapa... Wikiend hii JF haitakuwapo hewani kama tunavyofahamu. Nitawamis sana wana JF wote, but more seriously wanaMMU... Wishing you nice weekend,,,
Hili ndo jukwaa la mahusiano na nadhani ni sahihi tukiagana hapa... Wikiend hii JF haitakuwapo hewani kama tunavyofahamu. Nitawamis sana wana JF wote, but more seriously wanaMMU... Wishing you nice weekend,,,
cartura JF-Expert Member Aug 13, 2009 3,026 788 May 11, 2012 #2 okay, good; nilifikiri na wewe unataka kuanika challenges za JF halafu utangaze kuachia ngazi kama nani tena yule.... aaah, sorry nimemsahau
okay, good; nilifikiri na wewe unataka kuanika challenges za JF halafu utangaze kuachia ngazi kama nani tena yule.... aaah, sorry nimemsahau
MASELE JF-Expert Member Aug 30, 2011 796 479 May 11, 2012 #3 heri yako wewe ulokumbuka ni nishasahau ati, haya weekend njema kwako wewe na wanajf wote
Tuko JF-Expert Member Jul 29, 2010 11,178 7,319 May 11, 2012 Thread starter #4 cartura said: okay, good; nilifikiri na wewe unataka kuanika challenges za JF halafu utangaze kuachia ngazi kama nani tena yule.... aaah, sorry nimemsahau Click to expand... Hahaha... Ulisikia wapi mwanaume anakimbia challenges?!!!
cartura said: okay, good; nilifikiri na wewe unataka kuanika challenges za JF halafu utangaze kuachia ngazi kama nani tena yule.... aaah, sorry nimemsahau Click to expand... Hahaha... Ulisikia wapi mwanaume anakimbia challenges?!!!
HOPECOMFORT JF-Expert Member Feb 25, 2012 3,911 6,591 May 11, 2012 #5 Kumbe 12th may ni kesho. Poa bwana.Panapo majaliwa tena 15th tutakutana.Enjoy ur tm guys.
CharmingLady JF-Expert Member Apr 16, 2012 18,253 12,869 May 11, 2012 #6 c u if God wishes, will mic u Tuko Last edited by a moderator: Jan 4, 2016