Ipo dhana iliojengeka kwamba mkoa wa Tanga kwa upande wa vyama vya upinzani ni ngome ya CUF hivyo dhana hii kushindwa kukidhi mahitaji chanya ya kuikomboa Tanga kwenye makucha ya kinyonyaji ya Chama Cha Mapinduzi kuelekea uchaguzi mkuu.Dhana hii inapingana na matokeo ya uraisi ya 2010, matokeo ya uchaguzi wa Rais 2010 Mkoa wa Tanga kwa vyama chama cha CUF na CHADEMA ni kama ifuatavyo:
1. Tanga Mjini
CHADEMA:7,353
CUF:20,188
2.Mji wa Korogwe
CHADEMA: 3,135
CUF: 394
3.Wilaya ya Handeni
CHADEMA: 4,453
CUF: 3,939
4.Wilaya ya Kilindi
CHADEMA:1,788
CUF: 458
5.Korogwe Vijijini
CHADEMA:4,201
CUF:2,067
6. Bumbuli
CHADEMA: 1,674
CUF: 733
7. Lushoto
CHADEMA:1,910
CUF:1,515
8. Mlalo
CHADEMA: 2,268
CUF: 1,559
9.Muheza
CHADEMA:4,611
CUF: 3,991
10.Pangani
CHADEMA: 856
CUF: 3,253
11. Mkinga
CHADEMA: 1,083
CUF: 6,480
Kwa matokeo haya ni dhahiri CUF ina nguvu kwa baadhi ya maeneo ya Tanga (Tanga Mjini,Mkinga na Pangani) na sio Tanga nzima (kama mkoa) hivyo combined effort ya CHADEMA na CUF kuanzia ngazi ya kitaifa inahitajika haraka wakati zoezi la BVR litakapoanza tarehe 18.06.2015.
Ikumbukwe pamoja na CHADEMA kuongoza kwenye majimbo kama Bumbuli, Lushoto, Kilindi na Mlalo kampeni za mgombea wa uraisi haikufika kwenye maeneo hayo.Tanga ina mila na desturi tofauti kulingana na maeneo na tofauti za mapokeo ya kisiasa.Hivyo tutarajie matokeo makubwa jitihada za makuaudi zikifanyika katika kipindi kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu.
UKAWA SAFARI YA UHAKIKA,MAAMUZI SAHIHI,KWA WAKATI SAHIHI.MABADILIKO NI LAZIMA.
1. Tanga Mjini
CHADEMA:7,353
CUF:20,188
2.Mji wa Korogwe
CHADEMA: 3,135
CUF: 394
3.Wilaya ya Handeni
CHADEMA: 4,453
CUF: 3,939
4.Wilaya ya Kilindi
CHADEMA:1,788
CUF: 458
5.Korogwe Vijijini
CHADEMA:4,201
CUF:2,067
6. Bumbuli
CHADEMA: 1,674
CUF: 733
7. Lushoto
CHADEMA:1,910
CUF:1,515
8. Mlalo
CHADEMA: 2,268
CUF: 1,559
9.Muheza
CHADEMA:4,611
CUF: 3,991
10.Pangani
CHADEMA: 856
CUF: 3,253
11. Mkinga
CHADEMA: 1,083
CUF: 6,480
Kwa matokeo haya ni dhahiri CUF ina nguvu kwa baadhi ya maeneo ya Tanga (Tanga Mjini,Mkinga na Pangani) na sio Tanga nzima (kama mkoa) hivyo combined effort ya CHADEMA na CUF kuanzia ngazi ya kitaifa inahitajika haraka wakati zoezi la BVR litakapoanza tarehe 18.06.2015.
Ikumbukwe pamoja na CHADEMA kuongoza kwenye majimbo kama Bumbuli, Lushoto, Kilindi na Mlalo kampeni za mgombea wa uraisi haikufika kwenye maeneo hayo.Tanga ina mila na desturi tofauti kulingana na maeneo na tofauti za mapokeo ya kisiasa.Hivyo tutarajie matokeo makubwa jitihada za makuaudi zikifanyika katika kipindi kilichobaki kuelekea uchaguzi mkuu.
UKAWA SAFARI YA UHAKIKA,MAAMUZI SAHIHI,KWA WAKATI SAHIHI.MABADILIKO NI LAZIMA.