Tuache unafiki tuseme ukweli

Ishu sio matunzo mkuu! Ishu ni kukaa naye cku zote,kula pamoja,kulala pamoja kila kitu.
Hata chakula kiwe kizuri vipi ukiwa nacho kila cku kinachosha
 
Hata nyie huwa tunawachoka sema tunaishi na nyie kwa kuwavumilia tu siku ziende mbele, na pia ka ulimpendea ngono lazima uchoke tu, Mimi kwa umri wangu na yote niliyopotia hamna jipya Bora utulie na mtu anayekuelewa na kukuheshimu
Kwenye ndoa hakuna ngono wewe
 
Ishu sio matunzo mkuu! Ishu ni kukaa naye cku zote,kula pamoja,kulala pamoja kila kitu.
Hata chakula kiwe kizuri vipi ukiwa nacho kila cku kinachosha
Wamemtafsiri sivyo ndivyo
 
sawa nmekuelewa, kwahyo kuna umuhimu kupeana lkzo ikfka kpnd fulani svyo??
 
Ishu sio matunzo mkuu! Ishu ni kukaa naye cku zote,kula pamoja,kulala pamoja kila kitu.
Hata chakula kiwe kizuri vipi ukiwa nacho kila cku kinachosha
Kukaa naye, kula pamoja na kulala pamoja kila siku inapoteza ladha ikiwa atakuwa na mwonekano uleule kila siku. Matunzo ni vile kumbadilishia mwonekano ili avutie zaidi ya jana na juzi mkuu.
 

Mshobokee mwanamke uone atakavyokugeuza mwanasesere
 
Mke kweli unayempenda hachoshi hoja yako ni mfu kwangu. Hata wawe saba bado hawanichoshi .

Jitambue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…