Tuache kuwa wajinga, tumesahau ni nani alisema hatafukua makaburi?

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,312
152,112
Hivi sisi ni binadamu kweli au sisi ni just watu tu tusio na sifa ya kuitwa binadamu tofauti na viumbe wengine?

Kuna mtu alitamka hadharani kuwa hatafukua makaburi lakini leo mtu huyo huyo anakuja na kauli ya kutaka wahalifu waadhibiwe bila kujali vyeo vyao/wao ni kina nani alafu eti tunashangilia na kupongeza.

Kama alishindwa kuwashughulikia katika jinai "X" leo mtu huyo huyo ndio atakuwa tayari kuona wakichukuliwa hatua katika jinai "Y"?

Hivi sisi uwezo wetu wa ku-reason uko wapi?
Binadamu aliepewa akili, uwezo, maarifa na utashi anaweza kweli ku-behave kama sisi? Sisi ni binadamu kweli tuliokamilika au sisi ni watu tu kama viumbe wengine? Inasikitisha jinsi tunavyochezewa akili!

Mnaoshangilia majibu yenu kuwa nyinyi ni wajinga mtayapata baada ya muda pale mtakapoona mliokuwa mnayatarajia hayatokei.
 
Mkuu, kwahiyo kijana yule, hakumuelewa mzee hadi kuanzisha hili?
 
Hivi sisi ni binadamu kweli au sisi just watu tu tusio na sifa ya kuitwa binadamu tofauti na viumbe wengine?

Kuna mtu alitamka hadharani kuwa hatafukua makaburi lakini leo mtu huyo huyo anakuja na kauli ya kutaka wahalifu waadhibiwe bila kujali vyeo vyao/wao ni kina nani alafu eti tunashangilia na kupongeza.

Kama alishindwa kuwashughulikia katika jinai "X" leo mtu huyo huyo ndio atakuwa tayari kuona wakichukuliwa hatua katika jinai "Y"?

Hivi sisi uwezo wetu wa ku-reason uko wapi?

Binadamu aliepewa akili, uwezo, maarifa na utashi anaweza kweli ku-behave kama sisi?

Sisi ni binadamu kweli tuliokamilika au sisi ni watu tu kama viumbe wengine?

Inasikitisha jinsi tunavyochezewa akili!

Mnaoshangilia majibu yenu kuwa nyinyi ni wajinga mtayapata baada ya muda pale mtakapoona mliokuwa mnayatarajia hayatokei.
Mkuu haya ni maigizo tu, kumbuka kuwa hata majangili W akubwa ni viongozi wa hui wa ccm, lugumi tulichezewa, waliobeba hela za escrow stanbic mpaka leo hajatajwa hata mmoja. Asilimia kubwa ya watanzania wana uwezo mdogo sana wa kutafakari
 
Mkuu haya ni maigizo tu, kumbuka kuwa hata majangili W akubwa ni viongozi wa hui wa ccm, lugumi tulichezewa, waliobeba hela za escrow stanbic mpaka leo hajatajwa hata mmoja. Asilimia kubwa ya watanzania wana uwezo mdogo sana wa kutafakari

Bora kuna wenzangu,mie naona kama tutoke vipi,kuna mtu aliimba natafuta 'KIKI' ya kutokea...................
 
Hivi sisi ni binadamu kweli au sisi just watu tu tusio na sifa ya kuitwa binadamu tofauti na viumbe wengine?

Kuna mtu alitamka hadharani kuwa hatafukua makaburi lakini leo mtu huyo huyo anakuja na kauli ya kutaka wahalifu waadhibiwe bila kujali vyeo vyao/wao ni kina nani alafu eti tunashangilia na kupongeza.

Kama alishindwa kuwashughulikia katika jinai "X" leo mtu huyo huyo ndio atakuwa tayari kuona wakichukuliwa hatua katika jinai "Y"?

Hivi sisi uwezo wetu wa ku-reason uko wapi?

Binadamu aliepewa akili, uwezo, maarifa na utashi anaweza kweli ku-behave kama sisi?

Sisi ni binadamu kweli tuliokamilika au sisi ni watu tu kama viumbe wengine?

Inasikitisha jinsi tunavyochezewa akili!

Mnaoshangilia majibu yenu kuwa nyinyi ni wajinga mtayapata baada ya muda pale mtakapoona mliokuwa mnayatarajia hayatokei.
Unaongelea kufukua makaburi, hiyo siyo ishu. Kuna mtu ni fisadi wa kutupwa na tumemtambua hivyo kwa miaka kadhaa, siku moja tu, ghafla akawa malaika asiyeshikika!! Mtu msafi asiyefananishika.
Usitushangae binadamu kote huko uje kutushangaa tukifukua makaburi? Maajabu ya binadamu ndo haya ya kwako...
 
Unaongelea kufukua makaburi, hiyo siyo ishu. Kuna mtu ni fisadi wa kutupwa na tumemtambua hivyo kwa miaka kadhaa, siku moja tu, ghafla akawa malaika asiyeshikika!! Mtu msafi asiyefananishika.
Usitushangae binadamu kote huko uje kushangaa tukifukua makaburi? Maajabu ya binadamu ndo haya ya kwako...
Si mumpeleke mahakamani!Mnashindwa nini kumshitaki na wengine wakatajwe huko mahakamani kieleweke?Aliesema ilikuwa ni ajali ya kisiasa alikuwa ni nani na alikuwa mwenyekiti wa chama gani?Acheni majungu nyie wanafiki wakubwa!
 
Siyo kushangilia mkuu bali tumejipa mda hatuwezi kupingana na kauli za rais na makonda zina nia nzuri lakini wakishindwa tutakuja hapa kuwakumbusha kama kawaida yetu. Kwa vita hii ya madawa wacha tuwape nafasi mda utasema wenyewe.
 
mtarudi kukubaliana na mimi kwamba,miaka hii mitano itakwisha kwa kusikia na kuona mambo mengi ya ajabu hasa kutoka kwa watu tuliokuwa tunawategemea kutuletea maendeleo
 
Si mumpeleke mahakamani!Mnashindwa nini kumshitaki na wengine wakatajwe huko mahakamani kieleweke?Aliesema ilikuwa ni ajali ya kisiasa alikuwa ni nani na alikuwa mwenyekiti wa chama gani?Acheni majungu nyie wanafiki wakubwa!
Wanafiki wakubwa ni wale waliomtaja kwenye orodha ya mafisadi papa pale Mwembeyanga, halafu miaka michache baadaye, haohao wakawaambia wananchi kuwa kama kuna mwenye ushahidi ampeleke fisadi mahakamani.
Ufahamu wa hao watu ndiyo wa kutiliwa shaka...
 
Sera za chadema, siku hizi ni matamko ya rais Magufuli na Makonda, siku asipotamka sijui itakuwaje
 
Hivi sisi ni binadamu kweli au sisi ni just watu tu tusio na sifa ya kuitwa binadamu tofauti na viumbe wengine?

Kuna mtu alitamka hadharani kuwa hatafukua makaburi lakini leo mtu huyo huyo anakuja na kauli ya kutaka wahalifu waadhibiwe bila kujali vyeo vyao/wao ni kina nani alafu eti tunashangilia na kupongeza.

Kama alishindwa kuwashughulikia katika jinai "X" leo mtu huyo huyo ndio atakuwa tayari kuona wakichukuliwa hatua katika jinai "Y"?

Hivi sisi uwezo wetu wa ku-reason uko wapi?

Binadamu aliepewa akili, uwezo, maarifa na utashi anaweza kweli ku-behave kama sisi?

Sisi ni binadamu kweli tuliokamilika au sisi ni watu tu kama viumbe wengine?

Inasikitisha jinsi tunavyochezewa akili!

Mnaoshangilia majibu yenu kuwa nyinyi ni wajinga mtayapata baada ya muda pale mtakapoona mliokuwa mnayatarajia hayatokei.
Wakati Mbowe anatangaza hatapokea makapi ya ccm ulishangilia sana, na baadae akamuuzia chama Lowasa napo ukashangilia sana pia.

Shame on you
 
Hivi sisi ni binadamu kweli au sisi ni just watu tu tusio na sifa ya kuitwa binadamu tofauti na viumbe wengine?

Kuna mtu alitamka hadharani kuwa hatafukua makaburi lakini leo mtu huyo huyo anakuja na kauli ya kutaka wahalifu waadhibiwe bila kujali vyeo vyao/wao ni kina nani alafu eti tunashangilia na kupongeza.

Kama alishindwa kuwashughulikia katika jinai "X" leo mtu huyo huyo ndio atakuwa tayari kuona wakichukuliwa hatua katika jinai "Y"?

Hivi sisi uwezo wetu wa ku-reason uko wapi?
Binadamu aliepewa akili, uwezo, maarifa na utashi anaweza kweli ku-behave kama sisi? Sisi ni binadamu kweli tuliokamilika au sisi ni watu tu kama viumbe wengine? Inasikitisha jinsi tunavyochezewa akili!

Mnaoshangilia majibu yenu kuwa nyinyi ni wajinga mtayapata baada ya muda pale mtakapoona mliokuwa mnayatarajia hayatokei.

Mkuu kama kuna barabara inatakiwa kupita hapo na ni lazima kupita makaburi huwa yanafukuliwa. Na kama ni nyumba unataka kujenga na hakuna namna ya kukwepa tunajenga juu ya makaburi. Vepe wewe.
 
Katika Nchi hii hakuna hata moja tutakalofanya likafanikiwa,Vita dhidi ya uhujumu uchumi imeishia wapi?
Wailikamatwa wachache tu,LUGUMI,ESCROW, kimya mpaka leo,kelele zimepigwa zimenyamaza na maisha yanaendelea
Juzi vijana wamefeli kidato cha nne,kelele zimepigwa,zimetulia,hakuna kilichoafikiwa na maisha yanaendelea na next year watafeli tena
Vita dhidi ya vibaka na ukahaba kwa jiji la dar,imefikia wapi?anyway maisha yanasonga,
Hata hili litapita kama yote yalivyopita,tatizo letu sisi hatujui kusimamia utekelezaji wa yale tuliyoanzisha
 
Umesahau sakata la bandari, waliokwepesha kuna hata mmoja aliyefungwa? Sheria ya rushwa inasemaje?
 
Back
Top Bottom