Tuache kujichubua

Nisiwe muongo! sijui ila sioni comments zangu nikadhani ulifutwa. Ngoja niufuatilie kama upo Dejane nimpe link.
Ila siku ile ulinikosha sana!!!!!! Ulionesha wewe ni mpambanaji.

Sawa ngoja niusome
 
Mwishoni wakavamia Wasagaji wakaaza kujisifia na kuweka imoj za upinde nikaingilia ndipo uzi ukafutwa

Kuna mtu niliona anaweka alama ya upinde wa mvua nimemsahau nilikomea pale
 
Binadamu wanaoongoza kwa kupaka vipako ni waafrica, waarabu na wahindi.
 
Umeongelea mkorogo nikamkumbuka RPC fulani huko kanda ya sangara mpaka nikamuonea huruma.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ehee mwauja na ombeni
Siku moja yule mama mnene alodumbukia shimoni akawakuta kwenye stoo ya dawa nae akamuambia omben hivi huoni saizi zako?tafuta saizi yako
Yule nesi mwenye upara eti tatizo mwauja nataka sitaki nataka sitaki ukitaka takaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bi ubwaa aliwapiga vibegaaa lol
 
Wengi wana JF wasingekuwa wanafiki na kupambana na hao jamaa kama wewe, ujinga huu ungefutika. Lakini wengi ni wanafiki. Imagine mvulana kama cocastic anasifiwa na wanawake kwa upuuzi wake. Hii si sawa. Angalikuwa ni mtoto wako, ungefurahia akunjwe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuja JF kusifiwaaaaa, poleniii sanaaaa vipi vikundi vyenuuu mmeishia wapiiiii?

Keyboard warriors kazi mnayo, hebu anzisha kampeni ingine ile ya mwanzo walishindwaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi mnayoo, afu sio shda zangu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…