Ttwb hakuna aliyeajiliwa?

Ttwb hakuna aliyeajiliwa?

MKILINDI

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
986
Reaction score
1,515
Jamani wengi tulikuwa na mashaka na project hii hasa kipindi cha mchakato wa kuapply hasa kwa mshahara wao minono walioahidi kwa watakaopata hapo na bonus za kutosha full motisha kwa mwalimu wa kitz....miezi imeenda tupeni feedback waliopata kazi huko au kama kuna jamaa yako amepata huko tujue kama tushapigwa chini au michakato inaendelean tuishi kwa imani?
 
Jamani wengi tulikuwa na mashaka na project hii hasa kipindi cha mchakato wa kuapply hasa kwa mshahara wao minono walioahidi kwa watakaopata hapo na bonus za kutosha full motisha kwa mwalimu wa kitz....miezi imeenda tupeni feedback waliopata kazi huko au kama kuna jamaa yako amepata huko tujue kama tushapigwa chini au michakato inaendelean tuishi kwa imani?

Wewe ulitumiwa barua ya kupewa kazi?
 
Mim walntmia barua ya kaz tar30august , wakasema wataniita kwenda training tar 15 septer na kaz itaanza oct moja, hd leo nothing na hata hawapatkani tena hewan.
 
Mim walntmia barua ya kaz tar30august , wakasema wataniita kwenda training tar 15 septer na kaz itaanza oct moja, hd leo nothing na hata hawapatkani tena hewan.
poa mkuu si mbaya kwakuwa hawajakudhurumu pesa zaidi ya thamani wa muda wako. tumsubirie kawambwa
 
Kweli mkuu #MKILINDI hii kitu imekuwa kimya muda sasa hakuna feedback, mi niliapply ila hata hiyo barua mnayosema mmejibiwa sijajibiwa mimi, mtupe mrejesho ya progress yake please.
 
Back
Top Bottom