Mtandao wa internet unaowezesha shuguli nyingine za kutoa huduma ya usafirishaji zifanyike kwa wakati na kwa ufanisi.Kwa hiyo UDART alivyompiga chini MaxMalipo hakua ameandaa mbadala wake?
Na kama tickets ni zile za kuchana kwenye vishina kama zamani, huo mtandao wanaousemea TTCL ni upi sasa? Kwa ajili ya nini?
Maswali mazuri na fikirishi na aina yake kupata majibu ni ngumu .......Ila dart n udart wote ni wapigaji tyuuuKwa hiyo UDART alivyompiga chini MaxMalipo hakua ameandaa mbadala wake?
Na kama tickets ni zile za kuchana kwenye vishina kama zamani, huo mtandao wanaousemea TTCL ni upi sasa? Kwa ajili ya nini?
Shughuli zipi?Mtandao wa internet unaowezesha shuguli nyingine za kutoa huduma ya usafirishaji zifanyike kwa wakati na kwa ufanisi.
Tunachoshana tu.Shughuli zipi?
Well said. Mradi huu unaendeshwa kiujanja ujanja sana. Yani arguments zao za kishenzi sana. Watu wa mbezi wanapoteza shs 500 kwa siku (wamezuia utoaji wa kadi), na ni miaka miwili sasa no one cares. Nahisi kuna back up kutoka somewhere, si sawaHatutakaa tuendelee kwakuwa tuna ujanja ujanja mwingi na tamaa ya utajiri wa harakaharaka kama vile tumeambiwa tunakufa jioni ya leo
I agree. Hii si kawaida.Simon Group hashikiki...
Amini msiamini pamoja na ukali wa Magu, bado kuna "untouchables" nchini...
Ill defined. Mzee yupi? Hakuna cha mzee wala nini?Mchezo uliopo ni kwamba UDART kwa kushirikiana na Maxmalipo walikuwa WANAPIGA.
Mzee mzima kashitukia mchezo KABUTUA kama kawaida yake, sasa kinachofanyika ni hujuma ili kuona kama watafanikiwa kuendeleza ULAJI.
Wakawaulize jamaa wa vituo vya Mafuta kuhusu machine za EFD arafu ndio watajua nataka kucheza na KICHWA cha aina gani.
Utata ni hiyo press release haijawekwa muhuli wala kusainiwa.
Udart wenyewe.Sasa nani anadeal na utoaji tiketi kama maxcom wamefurumushwa?
cocochanel njooo uwasome ttcl huku