TTCL yairuka UDART tatizo la tiketi za mwendokasi, yasema mkataba wao unahusu kutoa huduma ya internet pekee

Kweli Mugambo wanaruka na kukanyagana, si yetu macho.View attachment 756180
IMG_20180425_055116.jpg
 
Kwani nini huku inaonekana wazi waliposema watachukua kazi ya max... ni kama hawakufikiri kuwa hawana uwezo huo.. au wafanyakazi wao hawajielewi kwa kujifanga wanajua kazi baada ya kushindwa wanaruka na kuandika hayo..
Hawajachukua bado
 
Kama nauona vile mwisho wa MAXCOM kwenye tenda zote huko serikali.

Nawachek maxcom afu nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Hawa UDART wamepata gap la kupiga hela ndo maana full sarakasi......
 
Eti leo MAXCOM wanakuja mitandaoni kuomba sympathy ya watu. Sasa kama umeshafungua kesi mahakamani sasa unakimbilia huku mtandaoni kutaka nini. Kwani mitandao ndiyo itakayoamua kesi yako?

MAXCOM wapambane kivyao huko mahakamani. Inashangaza sana eti viongozi wa MAXCOM wanatetea wafanyakazi walivunjiwa mkataba wao!

Waswahili huwa wanasema, mwosha naye huoshwa. Kama unajua historia ya viongozi wa MAXCOM kamwe huwezi kuwahurumia kwa hiki wanachofanyiwa.

Basing on your heading mimi naona TTCL imewaruka MaxCom

Mnamo tarehe 13 Aprili 2018 UDA-RT walitangaza kuiondoa kampuni ya Maxcom Africa kwenye mradi na kuipa kazi kampuni ya TTCL corporation bila kufuata taratibu zozote za kimkataba, bila kutoa notisi na bila kurasimishana makabidhiano ya mradi.

Maxcom Africa yatolea ufafanuzi tiketi zisizo za kielektroniki kwenye Mwendokasi. Yafungua kesi ya Madai dhidi ya UDA-RT

Wasimamiz udart inabd wajitafakar mgogoro wao na maxmalipo ndo shidaa na pia kulazimisha wafanyakaz wa maxcom kusain mikataba mipya bila kulipw na maxmalipo ni uonez wa waz waz serikal inabd iingilie kat

Kama nauona vile mwisho wa MAXCOM kwenye tenda zote huko serikali.

Nawachek maxcom afu nasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Eti leo MAXCOM wanakuja mitandaoni kuomba sympathy ya watu. Sasa kama umeshafungua kesi mahakamani sasa unakimbilia huku mtandaoni kutaka nini. Kwani mitandao ndiyo itakayoamua kesi yako?

MAXCOM wapambane kivyao huko mahakamani. Inashangaza sana eti viongozi wa MAXCOM wanatetea wafanyakazi walivunjiwa mkataba wao!

Waswahili huwa wanasema, mwosha naye huoshwa. Kama unajua historia ya viongozi wa MAXCOM kamwe huwezi kuwahurumia kwa hiki wanachofanyiwa.
Hao MaxMalipo naomba waminywe mpaka wakome, kuna lijamaa linaitwa Deo lina roho mbaya kama shetani.


Wafinyeni hivyo hivyo mpaka wakome. Ikibidi wafilisike kabisa
 
Hao MaxMalipo naomba waminywe mpaka wakome, kuna lijamaa linaitwa Deo lina roho mbaya kama shetani.


Wafinyeni hivyo hivyo mpaka wakome. Ikibidi wafilisike kabisa
Wewe ni typical Tanzanian. Unafurahia mwenzako aliyefanikiwa eti ashughurikiwe kama vile hiyo itakufanya wewe kufanikiwa. Ingekuwa kampuni ya nje ungesikitika. Yaani Hata MKUU wetu nae aliwahi kusema anataka waliofanikiwa waishi kama mashetani so sishangai ndivyo tulivyo. Ndio maana kila kitu made in China hadi vibua tu ambao wamejaa tele baharini kwetu. Hongera kwa kuwa Mtanzania halisi. Yaani hujaona madudu wa nayo fanya hao Kina Kisena ila ukafurahi tu hilo la Kufilisiwa
 
TTCL kuna wajinga wengi tu. Angalia hilo tangazo. Kuna sehemu imeandikwa TTLC halafu afisa uhusiano wa muda mrefu anasaini bila hata ku proof read. Kama secretary wake angechomekea na kuandika kuwa afisa uhusiano wa TTCL anakula nyama ya maiti. Limjamaa lingesaini tu. Halafu ukute anamshahara mkubwa na anatembea na wafanyakazi wa chini yake
 
Back
Top Bottom