Bila kampuni mbili kushindanishwa kutoa huduma za mwendokasi, Rais atateua na kutengua kila siku

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,283
2,043
Ni wazi suala la Usafirishaji wa Mabus ya Mwendokasi limekuwa DONDA sugu ktk UTAWALA wa AWAMU ya 5 na hii ya 6

Rais wa AWAMU ya 5 alikuwa ANAMTEUA na KUMTENGUA CEO wa UDARTS, RAIS wa AWAMU ya 6 nae mambo yamekuwa ni yale yale KUTEUA na KUTENGUA.

Ili kumaliza utendaji mbovu wa Mabus ya Mwendokasi kinachohitajika ni UWEPO wa KAMPUNI 2 barabarani zishindanishwe kutoa HUDUMA ya USAFIRISHAJI

Kufanya hivyo kila KAMPUNI itajipanga KIUSHINDANI na Kampuni itakayozembea Itajikuta ABIRIA hawayatumii Mabus yake na kila KAMPUNI itajitahidi kuyaboresha Mabus yake pamoja na Ujazaji hivyo wa Abiria Upakiaji mkubwa wa Mizigo utadhani Malori ya Mizigo, Ukatishaji Tiketi wa kisasa CARD kama za Pantoni Muda wa Mabus kituo mpaka kituo na Lugha nzuri ya Watendaji wa kwenye Vituo na MADEREVA.

Tunaiomba SERIKALI iliangalie hili ili kimpunguzia RAIS eli TEUA TENGUA wakati tatizo la UDART ni kutokuwa na MSHINDANI.
 
Ni wazi suala la Usafirishaji wa Mabus ya Mwendokasi limekuwa DONDA sugu ktk UTAWALA wa AWAMU ya 5 na hii ya 6

Rais wa AWAMU ya 5 alikuwa ANAMTEUA na KUMTENGUA CEO wa UDARTS, RAIS wa AWAMU ya 6 nae mambo yamekuwa ni yale yale KUTEUA na KUTENGUA.

Ili kumaliza utendaji mbovu wa Mabus ya Mwendokasi kinachohitajika ni UWEPO wa KAMPUNI 2 barabarani zishindanishwe kutoa HUDUMA ya USAFIRISHAJI

Kufanya hivyo kila KAMPUNI itajipanga KIUSHINDANI na Kampuni itakayozembea Itajikuta ABIRIA hawayatumii Mabus yake na kila KAMPUNI itajitahidi kuyaboresha Mabus yake pamoja na Ujazaji hivyo wa Abiria Upakiaji mkubwa wa Mizigo utadhani Malori ya Mizigo, Ukatishaji Tiketi wa kisasa CARD kama za Pantoni Muda wa Mabus kituo mpaka kituo na Lugha nzuri ya Watendaji wa kwenye Vituo na MADEREVA.

Tunaiomba SERIKALI iliangalie hili ili kimpunguzia RAIS eli TEUA TENGUA wakati tatizo la UDART ni kutokuwa na MSHINDANI.
Usibane WiGO...issue hapo ni market economy sio SUALA la kampuni mbili peke yake. Umejiuliza hii kampuni iliyopo inawezaje kujiendesha hadi hapo ilipo? Kwa nini private sector hawachangamkii hii fursa kwa kununua tender document, badala yake wanapitia kwa wanasiasa majukwaani? Kwa nini private sector inataka kwanza UDART ife ndio nao waje? Kwa nini wasiwe pamoja sokoni wakaangwe kwa moto ule ule? Wanasubiri mazingira yaboreshwe ndio waingie. Sasa hivi mazingira hayaboreshwi kwa sababu UDART kagoma kufa. Jiulize mageti yalienda wapi? Kadi ziliishia wapi? Nauli hii kuna private investor atatia mguu?Je haya nayo ni majukumu ya UDART? Tusubiri miezi saba sio mingi.
 
Usibane WiGO...issue hapo ni market economy sio SUALA la kampuni mbili peke yake. Umejiuliza hii kampuni iliyopo inawezaje kujiendesha hadi hapo ilipo? Kwa nini private sector hawachangamkii hii fursa kwa kununua tender document, badala yake wanapitia kwa wanasiasa majukwaani? Kwa nini private sector inataka kwanza UDART ife ndio nao waje? Kwa nini wasiwe pamoja sokoni wakaangwe kwa moto ule ule? Wanasubiri mazingira yaboreshwe ndio waingie. Sasa hivi mazingira hayaboreshwi kwa sababu UDART kagoma kufa. Jiulize mageti yalienda wapi? Kadi ziliishia wapi? Nauli hii kuna private investor atatia mguu?Je haya nayo ni majukumu ya UDART? Tusubiri miezi saba sio mingi.
MKUU ACHA KUZUNGUKA KAMPUNI MBILI NDIO MWAROBAINI wa hayo uliyoyaandika kinyume chake UDARTS ataendelea kuwasumbua Wananchi Tusiingize siasa bali SERIKALI iamue na ITANGAZE HILO SEKTA BINAFSI ZITACHANGAMKIA TU
 
Back
Top Bottom