TTCL Hamjajipanga, mnakera sana na Mnaudhi.

TTCL Hamjajipanga, mnakera sana na Mnaudhi.

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
29,020
Reaction score
40,837
Kwenu TTCL,

Mlikuja vizuri katika wilaya zetu na kuanza kupata Wateja wengi, hasa Watumishi wa serikali.

Lakini Mnakera sana, nimepatiwa line ya TTCL na kuweka sh. 1000 hapohapo ili kuungwa na ofa ya nanenane ya kifurushi cha data lakini maajabu ni kwamba wahudumu wenu wakashindwa kuniunganisha wakanieleza tu namna ya kwenda kujiunga mwenyewe.

Sasa katika kujiunga nimetuma pesa kutoka kwenye bank A/c kwenda T-Pesa ikakataa mara 3 kufika nikawauliza TTCL customer care kulikoni wakasema hiyo bank yako ndio yenye tatizo, lakini sshv nimetuma kwenda Mpesa ikakubali.

Kingine hata kuweka tu pesa kutoka kwenye T-Pesa kwenda kama Airtime kwenye line ya TTCL HAIKUBALI.

Yaani hawa jamaa nao ni hovyo tu !!!!

Unawapigia customer cares kila mmoja anasema lake.

Niliamua kuachana na line ya tigo kwaajili ya TTCL lakini huku ndiko hakueleweki kabisa.

NIMEUDHIKA SANA.
 
Ttcl ni majanga
Mi mwenyew nimeiweka pemben mtandao ukiwa ndani datnetwk haikamati vzuri ila ukitoka njee fresh sasa shida ya nini kwa pesa yako mwenyew
 
Ttcl wana ufinyu wa minala(bts) hiyo ni moja ya changamoto yao,hivyo huwanya kushare na tigo

Pia ni mtandao ambao kwa sasa wameingia katika mfumo wa mobile phone kikubwa tuwape muda

Ukitaka ufaidi mtandao wa TTCL kaa maeneo ya mjini
Kitu cha 4g,bando nafuu sana haliishi hovyo
 
Kwenu TTCL,

Mlikuja vizuri katika wilaya zetu na kuanza kupata Wateja wengi, hasa Watumishi wa serikali.

Lakini Mnakera sana, nimepatiwa line ya TTCL na kuweka sh. 1000 hapohapo ili kuungwa na ofa ya nanenane ya kifurushi cha data lakini maajabu ni kwamba wahudumu wenu wakashindwa kuniunganisha wakanieleza tu namna ya kwenda kujiunga mwenyewe.

Sasa katika kujiunga nimetuma pesa kutoka kwenye bank A/c kwenda T-Pesa ikakataa mara 3 kufika nikawauliza TTCL customer care kulikoni wakasema hiyo bank yako ndio yenye tatizo, lakini sshv nimetuma kwenda Mpesa ikakubali.

Kingine hata kuweka tu pesa kutoka kwenye T-Pesa kwenda kama Airtime kwenye line ya TTCL HAIKUBALI.

Yaani hawa jamaa nao ni hovyo tu !!!!

Unawapigia customer cares kila mmoja anasema lake.

Niliamua kuachana na line ya tigo kwaajili ya TTCL lakini huku ndiko hakueleweki kabisa.

NIMEUDHIKA SANA.
Biashara za serikali kwa wananchi mara nyingi huwa hazifanikiwi
 
Speed ya internet kama ya kinyonga. Nimeiweka pembeni kwanza navuta subira labda kuna siku nyumbani kutanoga kweli.
 
Mm wananikeraga kuna wakati data ukiwasha haijiwash inachukuaga hata robo saa mtandao unakua kana umepoteza marinda vile
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] watu mna misemo , kwamba magu na genge lake wametuletea mtandao unapoteza malinda kila uchwao au sio ?
 
TTCL limeoza customercare hakuna kitu wahudumu wamekaririshwa kuwajibu wateja.Mimi nilihamia TTCL kutoka AIRTEL lakini imebidi nirudi AIRTEL.....wahudumu wana kauli chafu na majibu ya maudhi.
Niliwatembelea pale Mlimani City nilikuwa nimelipia huduma kwa T-Pesa zaidi ya siku tatu huduma imekatwa,hela zangu wamechukua na ni lini nitarudishiwa hela zangu hawajui!
nimefuatilia hadi kwa incharge wao lakini majibu ni ya kipuuzi tu mara utajerejeshewa hela zako baada ya masaa 24 kesho ukiulizia unaambiwa hela zako zitarudishwa baada ya masaa 48 yaani ni vurugu tu.
nasikia mkurugenzi wao alikuwa teller wa Diamond Trust bank ameajiri vimada wake na ndio kawapa nafasi za juu za uendeshaji shirika ndio maana mambo hayaendi.
 
Mimi wameniudhi wameondoa ofa ya nanenane halafu hawajaleta nyingine wameanza kuwa wapuuzi
 
sijasajili laini yao kwa alama za vidole kwa sababu hata mawakala sijui walipo tangu waje kutusajili laini zao mtaani sijawaona tena.
 
Naomba kuuliza ukiwa na line ya Chuo unajiungeje Bando ?
 
TTCL limeoza customercare hakuna kitu wahudumu wamekaririshwa kuwajibu wateja.Mimi nilihamia TTCL kutoka AIRTEL lakini imebidi nirudi AIRTEL.....wahudumu wana kauli chafu na majibu ya maudhi.
Niliwatembelea pale Mlimani City nilikuwa nimelipia huduma kwa T-Pesa zaidi ya siku tatu huduma imekatwa,hela zangu wamechukua na ni lini nitarudishiwa hela zangu hawajui!
nimefuatilia hadi kwa incharge wao lakini majibu ni ya kipuuzi tu mara utajerejeshewa hela zako baada ya masaa 24 kesho ukiulizia unaambiwa hela zako zitarudishwa baada ya masaa 48 yaani ni vurugu tu.
nasikia mkurugenzi wao alikuwa teller wa Diamond Trust bank ameajiri vimada wake na ndio kawapa nafasi za juu za uendeshaji shirika ndio maana mambo hayaendi.
Kila ukiwapigia calling inakutana na busy alert, sijui customer caring yao ikoje
 
Kweli wanjipange kuna kipindi hata kutuma SMS za kawaida haziendi.
 
TTCL limeoza customercare hakuna kitu wahudumu wamekaririshwa kuwajibu wateja.Mimi nilihamia TTCL kutoka AIRTEL lakini imebidi nirudi AIRTEL.....wahudumu wana kauli chafu na majibu ya maudhi.
Niliwatembelea pale Mlimani City nilikuwa nimelipia huduma kwa T-Pesa zaidi ya siku tatu huduma imekatwa,hela zangu wamechukua na ni lini nitarudishiwa hela zangu hawajui!
nimefuatilia hadi kwa incharge wao lakini majibu ni ya kipuuzi tu mara utajerejeshewa hela zako baada ya masaa 24 kesho ukiulizia unaambiwa hela zako zitarudishwa baada ya masaa 48 yaani ni vurugu tu.
nasikia mkurugenzi wao alikuwa teller wa Diamond Trust bank ameajiri vimada wake na ndio kawapa nafasi za juu za uendeshaji shirika ndio maana mambo hayaendi.
Hata mimi walinikata hela bila sababu mkuu na ndio sababu ya kuanzisha uzi huu. Nikiwauliza namna ya kurejeshewa hawana majibu ya kueleweka.

Wako hovyo sana hawa TTCL.
 
Back
Top Bottom