Hawa jamaa aisee. Mimi nimeshaweka kapuni line yao. Halotel wana unlimited usiku for 1500Leo nimeweka vocha ya 1500 nimefanya na setup ya torrent nikitegemea kupata GB 10 za usiku nishushe series nakuta kifurushi hakipo
Voda walishakiondoa siku nyingi sijui tunahamia wapi sasa wazee wa kukesha na night bundle?
Nao watapunguza tuUpepo upo Halotel kwa sasa.
Niko halotel mda sana naenjoy sana kuanzia mb na dakika ni raha tupuUpepo upo Halotel kwa sasa.
Mkuu taratibu kibwengo hapoPia hata Ukinunua kupitia upande wa T_pesa nako wamepunguza kutoka 12gb mpk 7gb kweny bando la mwezi kwa sh. 10k
Wameshakuwa vibwengo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa halopesa ndio kuna vitu vitamu. Buku 5 GB 7 au buku 3GB na dkk 30 mitandao yote na sms 50. Kwa sisi tusiopiga simu sana na msg za kawaida cha buku 3 kimekaa poa sanaHii ni vifurushi vya internet vya wikiView attachment 1527547
Ombi lako tumelipokea na tunalifanyia kazi.Jamani TTCL Tanzania njooni muone sisi watanzania wenyewe tunavyolia na kila siku mnatuambia turudi nyumbani kumenoga sasa kunoga gani huku!
Ndio maana watu wanakimbilia kwa wale wa Vietnam(halotel)
Ndio majibu yao hayoOmbi lako tumelipokea na tunalifanyia kazi.
Asante kwa kuchagua TTCL.
#RudiNyumbaniKumenoga