TTCL wameondoa kifurushi cha usiku

Airtel wako vzr aisee c bundle tyu hata dk wapo vzr. Amia airtel ndg yng@Mayu
The smartphone network
Screenshot_20200805-174609_Phone.jpg
 
Na bandika bandua wamebadili muda....Ilikuwa buku kwa siku unapata 4gb (500mb saa 12 asubuh hadi 1:59 usiku+3.5gb kuanzia saa 2 usiku hadi 11:59 asubuhi.Sasa wamebadili muda wa matumizi imekuwa 500mb kuanzia saa 12 asubuh hadi 5:59 usiku+3.5gb kuanzia saa 6 usiku hadi 12 asubuhi.Dah naelekea kukimbia huu mtandao mana nilikuwepo kwaajili ya izo bando konki.
 
Na bandika bandua wamebadili muda....Ilikuwa buku kwa siku unapata 4gb (500mb saa 12 asubuh hadi 1:59 usiku+3.5gb kuanzia saa 2 usiku hadi 11:59 asubuhi.Sasa wamebadili muda wa matumizi imekuwa 500mb kuanzia saa 12 asubuh hadi 5:59 usiku+3.5gb kuanzia saa 6 usiku hadi 12 asubuhi.Dah naelekea kukimbia huu mtandao mana nilikuwepo kwaajili ya izo bando konki.
Bandika bandua ilikua poa sana aisee. Nilikua naitumia sana nikirudi home mida ya saa mbili baada ya mishe mishe
 
Here are my Comments

Aiseee mwanzoni mwa Mwaka 2016/2017 TTCL walikuja na Mtandao wao ukiwa na Huduma ya 4G na 3G wakati huo ilikua lazima uwe na Smartphone ndo Inashika Mtandao ulikua na Speed nzuri.

Kwa Sasa binafsi nilijiunga Kifurushi kwa ajili ya Router aisee nilikua sijatumia Mtandao wa TTCL kwa Muda mrefu. Jamani Umekua very slow yaani ni slow kweli kweli mimi kwangu Bei si tatizo ila Upo slow sana.

Hawa Halotel watakua na Market share kubwa sana tunakoelekea Vodacom na Tigo wajipange . Fiber zinawasaidia sana kuliko mitandao mingine inayotumia minala tuu. Bravo Halotel
 
Here are my Comments

Aiseee mwanzoni mwa Mwaka 2016/2017 TTCL walikuja na Mtandao wao ukiwa na Huduma ya 4G na 3G wakati huo ilikua lazima uwe na Smartphone ndo Inashika Mtandao ulikua na Speed nzuri.

Kwa Sasa binafsi nilijiunga Kifurushi kwa ajili ya Router aisee nilikua sijatumia Mtandao wa TTCL kwa Muda mrefu. Jamani Umekua very slow yaani ni slow kweli kweli mimi kwangu Bei si tatizo ila Upo slow sana.

Hawa Halotel watakua na Market share kubwa sana tunakoelekea Vodacom na Tigo wajipange . Fiber zinawasaidia sana kuliko mitandao mingine inayotumia minala tuu. Bravo Halotel
Nimeuza router yangu ya ttcl aisee. Net imekua slow na bei wamepandisha. Nimehamia halotel. 4G yao ni hatari. Sema kuna maeneo inapotea, hata hapa town. Ila 3G yao bado ni nzuri pia
 
Nimeuza router yangu ya ttcl aisee. Net imekua slow na bei wamepandisha. Nimehamia halotel. 4G yao ni hatari. Sema kuna maeneo inapotea, hata hapa town. Ila 3G yao bado ni nzuri pia
Hivi Router ya TTCL huwezi Ku Crack?
 
Leo nimeweka vocha ya 1500 nimefanya na setup ya torrent nikitegemea kupata GB 10 za usiku nishushe series nakuta kifurushi hakipo

Voda walishakiondoa siku nyingi sijui tunahamia wapi sasa wazee wa kukesha na night bundle?
Hahaha umenikumbusha walivyoanza mabundi night tulikuwa tunajiunga kwa sh. 200 (mia mbili) kuanzia saa nne usiku hadi asubuhi kweli tulienjoy sana lakini siku hizi
 
Leo nimeweka vocha ya 1500 nimefanya na setup ya torrent nikitegemea kupata GB 10 za usiku nishushe series nakuta kifurushi hakipo

Voda walishakiondoa siku nyingi sijui tunahamia wapi sasa wazee wa kukesha na night bundle?

Airtel bado ipo 10gb kwa 1500 usiku safi kabs mkuu jaribu
 
Back
Top Bottom