[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo mmeamka na hangover za Posta na Simu. By the way wao nao wangekuja na thread spesho kama Voda, TCRA ama Tanesco ili wateja wapate kumwaga povu huko.Nguvu wanayoitumia kwenye PR ilihali sijawahi kukutana na mtumiaji wa TTCL sishangai wakitangaza hasara.
Ukilala na malaya dai risiti
mandezi tu wale hakuna lolote saiz wapo na mabucket.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo mmeamka na hangover za Posta na Simu. By the way wao nao wangekuja na thread spesho kama Voda, TCRA ama Tanesco ili wateja wapate kumwaga povu huko.
Hii yote sababu ya urasimu. UDOM, UDSM, MZUMBE, SUA unadhan kwa mwaka wanazalisha vijana wangap wenye ujuzi wa haya mambo.
Tena uzuri siku hizi watu wanasomea kabisa Management ya Corporates lakin ndio wanaambiwa wakajiajir kuuza juice za miwa huku maofisin wazembe wamekalia viti.
Mimi Posta sitak kabisa kusikia hawa vibaka, kuna mwaka niliwah kufata mzigo wa cheti hawa jamaa walinitesa siwez sahau wala kuelezea.
Yani hawa jamaa sio business oriented, I'm sure wanajiendesha kihasara, hawa jamaa customers care yao ni Zero kwa asilimia mia moja, Yani mpaka nashindwa kuelewa Competitive Strategies zao ni zipi? Au ndo kumaintain status quo kuwa shirika la serikali.
Zitto njoon mpitie huku hawa jamaa wanafaa kutumbuliwa kabisa, ifike mahali uzembe ukome
Pole mkuu mimi nilimwaga chozi kabisa nikimtazama muhudumu mtu mzima kama mama yangu ananijibu 'labda uje week ijayo tuutafute ...sijui register book imefanya nini sijui vitu gani hata alichozungumza ni lugha ngumu kama prescription ya doctor. Sio ya kumjibu mteja aliyekereka na huduma zenu.
Nilimtazamaa machozi yakanitoka nikamwambia asante mama [emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Pole sana Msichana MremboPole mkuu mimi nilimwaga chozi kabisa nikimtazama muhudumu mtu mzima kama mama yangu ananijibu 'labda uje week ijayo tuutafute ...sijui register book imefanya nini sijui vitu gani hata alichozungumza ni lugha ngumu kama prescription ya doctor. Sio ya kumjibu mteja aliyekereka na huduma zenu.
Nilimtazamaa machozi yakanitoka nikamwambia asante mama [emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Nilikutana na kijana wa posta anajisifu kuwa sasa huduma zetu zimeboresha hasa EMS nikamwangalia kwa dharau halafu nikacheka, baadaye nikamshauri awaambie mabosi wake wafanye hata ubunifu wa kuwa na ofisi kwenye stendi za mabasi ili wanaosafirisha mizigo wawajue kama wapo kuliko kujifungia ofisini na kujisifu ujinga
Umeandika kwa uchungu sana... Sasa unaona vipi ukakopi paragraph ya ttcl ukawatumia kwenye website yao na hao posta ukawatumia pia!Asante ndugu Mkurugenzi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Umeandika kwa uchungu sana... Sasa unaona vipi ukakopi paragraph ya ttcl ukawatumia kwenye website yao na hao posta ukawatumia pia!
Naungana na wewe kwenye wizi wa posta!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wa TTCL ni kijana kabisa huyu hapa
View attachment 791717
Wa Shirika la Posta pia ni huyu kijana pia
View attachment 791718
Ila wafanyakazi wenzao wa chini yao ni 90% wazee. Wanaamkiana SHIKAMOO tupu kuanzia getini watapata wapi ujasiri wa kuwa nyoosha wanapokosea [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sekta binafsi washaanza siku nyingi halafu hawa wanataka kuja kuleta sheria eti hizo sio njia rasmi. Kama wameshindwa wawaache wenzao wapige kazi. Kuna mitandao kama jumia wanaweza kuingia ubia lakini wapi.kwa upande wa shirika la posta now kuna potential kubwa mno ya usafirishaji wa vifurushi,...hii km itapata muongozo mzuri inaweza kuwa na turn over ya hatari
lakini ndyo ivo wahusika wamelala usingizi wa pono wanasubiri sekta binafsi zianze wakishatawala soko wao ndyo waje na figisu kibao kuwakwamisha
Kuna jamaa yuko uingereza alileta uzi hapa anakwambia dhl wanasupply mizigo hadi kwenye masupermarket kuanzia mboga za majani hadi mayai!!Sekta binafsi washaanza siku nyingi halafu hawa wanataka kuja kuleta sheria eti hizo sio njia rasmi. Kama wameshindwa wawaache wenzao wapige kazi. Kuna mitandao kama jumia wanaweza kuingia ubia lakini wapi.