Hapa ndipo walipo chemeka.TTCL hawatumii GSM, sijui nani aliwashauri wasitumie 2G network wakati watumiaji wengi huko vijijini wanatumia simu ndogo ambazo zina GSM network tu na EDGE Kwa ajili ya mtandao.
Sijui nani aliwashauri katika hili, hata hiyo T-Pesa unamtumia vipi mtu wa kijijini ambae anamiliki Nokia tochi? Au hawataki watu wa vijijini watumie line za TTCL?
It's lame and stupid...