nimefurahi maana umeuliza na kujijibu mwenyewe na ikiwa kazi yenyewe ni serikalini, hakuna controller mkuuau watu wapo kupokea mishahara ya bure mwisho wa mwezi na hawafanyi kazi yoyote kazi kupiga porojo makazini na utoro!
Nasikitika kwamba mpaka sasa tulivyoambiwa Tanzania imejiunga na mtandao wa Fibre Optic kwa ajili ya mawasiliano ya kimataifa ya internet n.k bado huduma ya kampuni ya TTCL ni duni sana.
Mtandao wao unakorofisha mara kwa mara na ukiwapigia simu hawapokei simu au wakipokea hawashugulikii tatizo, sasa sijui waliopewa hiyo kazi hawajui au hawana nia ya kutoa huduma kwa wateja?
Kwanini hata gharama hazipungui tunabaki kutoa hela nyingi kwa huduma mbovu?
Kwanini sisi Tanzania tupo nyuma kila kitu? Nchi za majirani yetu wanazidi kupiga hatua ktk technolojia? Au watu wapo kupokea mishahara ya bure mwisho wa mwezi na hawafanyi kazi yoyote kazi kupiga porojo makazini na utoro!
Nasikitika kwamba mpaka sasa tulivyoambiwa Tanzania imejiunga na mtandao wa Fibre Optic kwa ajili ya mawasiliano ya kimataifa ya internet n.k bado huduma ya kampuni ya TTCL ni duni sana.
Mtandao wao unakorofisha mara kwa mara na ukiwapigia simu hawapokei simu au wakipokea hawashugulikii tatizo, sasa sijui waliopewa hiyo kazi hawajui au hawana nia ya kutoa huduma kwa wateja?
Kwanini hata gharama hazipungui tunabaki kutoa hela nyingi kwa huduma mbovu?
Kwanini sisi Tanzania tupo nyuma kila kitu? Nchi za majirani yetu wanazidi kupiga hatua ktk technolojia? Au watu wapo kupokea mishahara ya bure mwisho wa mwezi na hawafanyi kazi yoyote kazi kupiga porojo makazini na utoro!
Naona umetoa shutuma kali kweli. Mimi pia mteja wa Broadband ya TTCL. Binafsi nadhani hao TTCL ni much better kuliko wengine.
Speed ya internet imeongezeka, hasa nime-notice video streaming (hapa inategemea RAM pia).
Juu ya servers zao kuwa down, ni kweli. Nimeona mara mbili tatu hivi. Lakini si kiasi cha kukatisha tamaa. Suala kwamba hawapokeai simu sina hakika nalo kwani ukipiga 100, unaunganishwa baada ya muda(kama line iko wazi).
Kuhusu bei, ni kweli bado ziko juu. Mimi napata 1G kwa kulipia elfu 60 kwa mwezi. Ni ghali mno. Lakini niliongea nao, pale ofisi ndogo iliyoko Ubungo Plaza, wakaniambia mwezi wa 10 watashusha bei.
NB: Habari za uhakika ni kwamba serikali isipotoa sh bilioni 18 mapema iwezekanavyo, kampuni hii inakufa na kuzikwa.
Nasikitika kwamba mpaka sasa tulivyoambiwa Tanzania imejiunga na mtandao wa Fibre Optic kwa ajili ya mawasiliano ya kimataifa ya internet n.k bado huduma ya kampuni ya TTCL ni duni sana.
Mtandao wao unakorofisha mara kwa mara na ukiwapigia simu hawapokei simu au wakipokea hawashugulikii tatizo, sasa sijui waliopewa hiyo kazi hawajui au hawana nia ya kutoa huduma kwa wateja?
Sio TTCL peke yao. Simbanet toka wamejiunga na seacom ndio wamezidi kuwa wabovu kuliko mwanzo,mtu una Bandwidh ya 256 kbps, donwload speed unapata 30 kbps/upload 8 kbps,saa nyingine download speed inashuka mpaka 8 kbps.uki wapigia simu wanakuambia mbona wao hawana tatizo wanacho kushauri ni ku-restart modem yako na kuwasha...
Walituambia wakazi wa Dar watatuongezea Bandwidh mpaka leo hakuna chochote kilicho endelea zaidi ya kula pesa zatu bure maana huduma zao haziendani na malipo tunayo lipa kabisa.
kbps au KB/sec? Inawezekana wewe ndiye unayekosea.
256 kbps is the same as 32 KB/sec. (1 Byte has got 8 bits)
Juzi niliwazukia TTCL aisee......maelekezo niliopata kwa yule mama hayaelezeki....kwa kifupi aliniongezea njaa....
Thnks shem wa mbaaaali......bado nimefunga 6......Yo Yo,
Naona umerudi. Pole na mfungo wa Ramadhani.
Kama hao akina dada wanakupa njaa, na ukichukulia ndiyo kwanza umemaliza mfungo wa Ramadhani, angali usije ukaharibu mzani wa nyumbani kwa kuleta kitu kiitwacho Yo Yo Effect.
Kwanini serikali itoe 18 bilioni? Hivi hii Kampuni si inajiendesha kibiashara? Unamaana hii michango yote wanayotoa wananchi haitoshi kujiendesha? Yanajirudia tena ya ATC?Naona umetoa shutuma kali kweli. Mimi pia mteja wa Broadband ya TTCL. Binafsi nadhani hao TTCL ni much better kuliko wengine.
Speed ya internet imeongezeka, hasa nime-notice video streaming (hapa inategemea RAM pia).
Juu ya servers zao kuwa down, ni kweli. Nimeona mara mbili tatu hivi. Lakini si kiasi cha kukatisha tamaa. Suala kwamba hawapokeai simu sina hakika nalo kwani ukipiga 100, unaunganishwa baada ya muda(kama line iko wazi).
Kuhusu bei, ni kweli bado ziko juu. Mimi napata 1G kwa kulipia elfu 60 kwa mwezi. Ni ghali mno. Lakini niliongea nao, pale ofisi ndogo iliyoko Ubungo Plaza, wakaniambia mwezi wa 10 watashusha bei.
NB: Habari za uhakika ni kwamba serikali isipotoa sh bilioni 18 mapema iwezekanavyo, kampuni hii inakufa na kuzikwa.
With an exception of the two Pension Fund corporations (i.e. NSSF & PPF)which other Parastatal is performing? Reading "Nipashe" of September 22, 2009, I a shock of my life that BOT is being swindled by almost 45% of its senior staff. NIC is kaput. What else?