Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,226
- 44,230
fanya utafiti wako mdogo sababu ni 3g test voda, airtel, tigo, halotel uone upi unakupa speed.So unanishaurije Chief Mkawa?
fanya utafiti wako mdogo sababu ni 3g test voda, airtel, tigo, halotel uone upi unakupa speed.So unanishaurije Chief Mkawa?
Ni AIRTEL na TTCL mingine inaenda 1mbps sasa naona TTCL mnaisifia ila mimi Kigamboni inanichoshafanya utafiti wako mdogo sababu ni 3g test voda, airtel, tigo, halotel uone upi unakupa speed.
inasifiwa 4g mkuu sio 3g. hio inayokupa mbps kwanini usitumie hio?Ni AIRTEL na TTCL mingine inaenda 1mbps sasa naona TTCL mnaisifia ila mimi Kigamboni inanichosha
Naendelea kutafuta line ya kuperuzi internet, je hawa TTCL speed ikoje...
Kwa anaejua hii please
Natumia Voda mkuu but naona TTCL vifurushi bei punguzo kama hakuna mbadala nitaendelea kutumia Voda asanteinasifiwa 4g mkuu sio 3g. hio inayokupa mbps kwanini usitumie hio?
vifurushi maalum huna offer nzuri?Natumia Voda mkuu but naona TTCL vifurushi bei punguzo kama hakuna mbadala nitaendelea kutumia Voda asante
Voda ya chuo napata 2gb na 2gb usikuvifurushi maalum huna offer nzuri?
tigo ina speed? kama inayo tafuta zantel usiku 1500 GB 8, au halotel zile GB 15 kama bado zipo.Nadownload muvi so nikazani 10 GB ya TTCL itanikomboa niwe napakua video za kutosha
Ndio chief TIGO wako vizuri ila vifurushi vya usiku vya bei rahisi sivijuitigo ina speed? kama inayo tafuta zantel usiku 1500 GB 8, au halotel zile GB 15 kama bado zipo.
Uko maeneo yapiTTCL wapo vizuri asee
kama modem yako ni ya H+ mtandao ukiwa na 4G au usiwe na 4G haikusaidii. utafaidika na 4G pale tu kifaa chako kikiwa 4G.Ndio chief TIGO wako vizuri ila vifurushi vya usiku vya bei rahisi sivijui
HALOTEL 3G iko njema sana kasi kama Voda
Ila naona kama HALOTEL hawana 4G
Safi sana mzee now namiliki kitu cha Samsung note 4 so naona nikonect kwa simu nifaidi 4Gkama modem yako ni ya H+ mtandao ukiwa na 4G au usiwe na 4G haikusaidii. utafaidika na 4G pale tu kifaa chako kikiwa 4G.
TiGo kifurushi cha usiku ni 4GB tu, ila sababu tigo na zantel wanatumia minara hio hio mahala ambapo tigo ina speed na zantel itakuwa na speed vile vile hivyo unaweza kutumia zantel sababu wao wanatoa mara mbili zaidi yaani usiku unapata 8GB.
na kama halotel wana speed kwako unga kifurushi cha usiku udownload movie na hio halotel.
jaribu sasa TTCL kwenye hio note 4, then ueke 4G utest speed yake.Safi sana mzee now namiliki kitu cha Samsung note 4 so naona nikonect kwa simu nifaidi 4G
Asante chief
Hii TTCL 4G KWA KIGAMBONIjaribu sasa TTCL kwenye hio note 4, then ueke 4G utest speed yake.
hapo hakuna hata mjadala mkuu, komaa na voda. tafuta line ya chuo au line yenye kifurushi kizuri cha ya kwako tu.Hii TTCL 4G KWA KIGAMBONI![]()
HII VODACOM 4G KWA KIGAMBONI![]()