TTCL line zao kwa internet vipi?

TTCL line zao kwa internet vipi?

Aiseee Mimi Naitumia Hiyo Line Kudadadeki Naisoma Namba, Hadi mda Mwingine inanibidi nijiunge kwa mitandao Mingine Maaana Speed Ni ya Konokono hadi Unaitaji kuliaa..
Ila Credit Nawapa Kwenye Vifurushi sio Speed
Wanazngua sana yani ukitumia mtandao wao hakikisha uwe na backup mda wote maana mtandao wao mara ukatike Mara urudi.
 
Kwa kuwekana Sawa. Suala la speed ya internet kuhusu mtandao inategemea na eneo. Kuna Maeneo ttcl haina nguvu, yenye nguvu voda/tigo. Kuna eneo mkuranga tigo hoi. Sasa Huwezi kusema tigo haifai kwa jibu la eneo moja.
Ttcl n nzuri mnoo
 
INTERNET yao 3G na 4G zote mbovuuuuu,,nakushauri kama ulikuwa unataka kutumia TTCL achana nayo kabisa.

Msalimie
-John Nyali
-Joachim Kisasa
 
Hawa TTCL bado hawajapona na kuingizwa mjini na @airteltanzania, mpaka wakae sawa miaka, mazuzu kabisa...
 
Hata sielewi
wengine mbovu,wengine fresh
sasa sijui inakuaje
issue ni mahala ulipo,

TTCL wana LTE advance (source nyengine zinasema ni advance pro japo naona kama wamechapia) ni 4G ya kisasa ambayo ipo nchi chache duniani. ukiwa na kifaa kizuri cha 4G na upo eneo ambalo TTCL ipo vizuri basi utapata speed ya maana, 20mbps kuendelea.

Mimi nimetumia TTCL kivule, ni mbali sana na mjini na nilikuwa napata bar 1 tu na wakati sipati kabisa network, ila speed ilikuwa haishuki 10mbps.
 
issue ni mahala ulipo,

TTCL wana LTE advance (source nyengine zinasema ni advance pro japo naona kama wamechapia) ni 4G ya kisasa ambayo ipo nchi chache duniani. ukiwa na kifaa kizuri cha 4G na upo eneo ambalo TTCL ipo vizuri basi utapata speed ya maana, 20mbps kuendelea.

Mimi nimetumia TTCL kivule, ni mbali sana na mjini na nilikuwa napata bar 1 tu na wakati sipati kabisa network, ila speed ilikuwa haishuki 10mbps.
Sasa mimi sijui kwa nini Kigamboni iko slow sana modem yangu ya H+ inacheza 67kbps
 
Back
Top Bottom