toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,607
- 4,766
Nikikumbuka jinsi serikali ya Magu walivyopambana kwa jasho na damu kuukuza huu mtandao na kuspend mabilioni ya pesa kama ruzuku ili shirika lifufuke leo hii limerudi kama zamani linajifia tu
Hivi waungwana hili shirika linahujumiwa au.....Inawezekana vp wakawa na bando ghali kuliko mitandao mingine?
Hali ni mbaya sana pia mtandao wao umeanza kupoteza signals maeneo mengi tofauti na kipindi cha magu
Nikifikiria uwekezaji mkubwa ulofanyika kwenye mawasiliano naishiwa na nguvu kabisa
Kuna jambo nashindwa kulielewa waungwana labda mniambie hivi hawa wanashindwa vipi kukamata soko??Haki wanafeli kivipi?Wamejitahidi kufika Tz nzima kila mahali wapo, maana kila mahali ukienda inashika, hivi kwa sasahivi kulivyo na demand kubwa ya mabando hawa wakija hata na utaratibu wa kuuza bando Gb 1 hata kwa 1500 au 1000 si wabongo wote watakimbilia huko?
Kwani wanafeli wapi kuwa na mabando cheap kuliko mitandao yote kama walivyofanya kuanzia 2018, 2019 na kufanikiwa kurudi kwa kasi?
Hivi kwa mfano wakiuza gb kwa shilingi 1000 au 1500 hawa kwa sasa si watateka soko zima la mabando? sasa kwanini wanashindwa ilhali wana kila kitu?Wana kila kitu hawa nashindwa kujua kuna mdudu gani wakuu Naombeni mnieleweshe au mimi ni mjinga sina akili siwazi sawa sawa?
Mbona ni rahisi sana hawa kukamata soko kwa hali ilivyo sasa?Wanafeli wapi, kuna nini, na tatzo ninini?Hili shirika si la umma jamani?Wakuu nashindwa kulielewa hili shirika kabisa
Kweli pumzika kwa amani ttcl hakika unahujumiwa na walafi
Hivi waungwana hili shirika linahujumiwa au.....Inawezekana vp wakawa na bando ghali kuliko mitandao mingine?
Hali ni mbaya sana pia mtandao wao umeanza kupoteza signals maeneo mengi tofauti na kipindi cha magu
Nikifikiria uwekezaji mkubwa ulofanyika kwenye mawasiliano naishiwa na nguvu kabisa
Kuna jambo nashindwa kulielewa waungwana labda mniambie hivi hawa wanashindwa vipi kukamata soko??Haki wanafeli kivipi?Wamejitahidi kufika Tz nzima kila mahali wapo, maana kila mahali ukienda inashika, hivi kwa sasahivi kulivyo na demand kubwa ya mabando hawa wakija hata na utaratibu wa kuuza bando Gb 1 hata kwa 1500 au 1000 si wabongo wote watakimbilia huko?
Kwani wanafeli wapi kuwa na mabando cheap kuliko mitandao yote kama walivyofanya kuanzia 2018, 2019 na kufanikiwa kurudi kwa kasi?
Hivi kwa mfano wakiuza gb kwa shilingi 1000 au 1500 hawa kwa sasa si watateka soko zima la mabando? sasa kwanini wanashindwa ilhali wana kila kitu?Wana kila kitu hawa nashindwa kujua kuna mdudu gani wakuu Naombeni mnieleweshe au mimi ni mjinga sina akili siwazi sawa sawa?
Mbona ni rahisi sana hawa kukamata soko kwa hali ilivyo sasa?Wanafeli wapi, kuna nini, na tatzo ninini?Hili shirika si la umma jamani?Wakuu nashindwa kulielewa hili shirika kabisa
Kweli pumzika kwa amani ttcl hakika unahujumiwa na walafi