Utaikuta humohumoNgija ntaleta mrejesho ila hajaniambia bei ya Bando
Utaikuta humohumoNgija ntaleta mrejesho ila hajaniambia bei ya Bando
Namalizia dk zangu then line naitia kapuniNiliachana na TTCL pale unaweka line yao lakini inasoma Tigo halafu mb kibao lakini hazifungui hata picha ya whatsup
Ipi?Wakati huo kuna kampuni limepandisha bei na kupunguza package za vifurushi katika wiki ya huduma kwa wateja wake......
Ya Ttclapige kwa line gani? wakati amekwambia anataka kurudi nyumbani?
Mbona internet yenu inasumbua sana?
Kuna siku nilikua mitaa ya bunju tu hapo,yani adi line iliandika emergency call,sio simubza kawaida sio internet vyote havipatikani
Mnatusaidiaje?
Foddercom na hewatel......Ipi?