Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,678
- 20,714
Hilo ndilo linafanya shillingi ipande thamaniKuna mchezo unafanyika Sasa huu ni uhujumu uchumi, Rais anasika anasema kabisa nasikia nimeambiwa shilingi zimepungua badala ya Dola. Sasa BOT wanafanya kazi Gani kama hata kuprint pesa hawataki