Truth and reconciliation commission - Tanzania

sodoliki

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
2,593
2,016
Kuna dalili zote kuwa taifa linagawanyika, hasa baada ya jiwe kuwa kiongozi, kuna tuhuma za watu kuuwawa, kuna tuhuma za watu kufa kwa kuvunjiwa nyumba zao, kuna kubambikiwa makesi kwa sababu mlengo wa siasa tofauti, kuna kuvunja Katiba, kuna matumizi mabaya ya fedha za umma bila Idhini ya bunge, kuna wabunge kuhongwa wahame vyama vyao, kuna kupotea kwa watu bila kujulikana, kuna state capture kwa familia moja kuhodhi nafasi nyeti, kuna watu wamefukuzwa kazi kihovyo na kihuni, kuna wazee wanakufaa kwa pressure kwa dhuluma kijanja ya mafao yao na mengine mengi.

Watu wamechukia na nawaomba wafuatao waombe bungeni tupate ruhusa ya kuunda truth and reconcilliation commission kabla ya uchaguzi ujao, ili tuwe kitu kimoja , naona kama tukienda kwenye uchaguzi kwa hali hii, maisha na mali zitapotea tuu, taifa hili ni la vijana kwa hiyo naomba zitto kabwe, januari, bashe, msigwa nape wamuombe spika apitishe hili
 
Kuna dalili zote kuwa taifa linagawanyika, hasa baada ya jiwe kuwa kiongozi, kuna tuhuma za watu kuuwawa, kuna tuhuma za watu kufa kwa kuvunjiwa nyumba zao, kuna kubambikiwa makesi kwa sababu mlengo wa siasa tofauti, kuna kuvunja Katiba, kuna matumizi mabaya ya fedha za umma bila Idhini ya bunge, kuna wabunge kuhongwa wahame vyama vyao, kuna kupotea kwa watu bila kujulikana, kuna state capture kwa familia moja kuhodhi nafasi nyeti, kuna watu wamefukuzwa kazi kihovyo na kihuni, kuna wazee wanakufaa kwa pressure kwa dhuluma kijanja ya mafao yao na mengine mengi. Watu wamechukia na nawaomba wafuatao waombe bungeni tupate ruhusa ya kuunda truth and reconcilliation commission kabla ya uchaguzi ujao, ili tuwe kitu kimoja , naona kama tukienda kwenye uchaguzi kwa hali hii, maisha na mali zitapotea tuu, taifa hili ni la vijana kwa hiyo naomba zitto kabwe, januari, bashe, msigwa nape wamuombe spika apitishe hili
Hakuna Haja wacha mambo yaende hivi kwanza.....kwani vyombo vya sheria havipo mbona kama tunaanza kumtengenezea mtu mwanya wa kuomba msamaha kwa makosa aliyotenda akiwa na akili timamu na mamlaka....tume ya usuluhisi na maridhiano ina qualification zake natujafika huko ....makosa yaliyote dwarf na wahusika nimachahce na anaweza kufanyiwa oz na vyombo vya kutoa haki, Angalia SA na Rwanda ndo unajua why waliunda tume
 
Back
Top Bottom